MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Unapenda sana kuona picha eeh?.Bila shaka "Hata vitabu visivyo na picha ukipewa hutovisoma".Sishangai kwakuwa ndivyo tulivyokuzwa,Picha iko wapi sasa.
Siwez kula ugali bila mboga
Hisia zinaona kuliko macho.Unapenda sana kuona picha eeh?.Bila shaka "Hata vitabu visivyo na picha ukipewa hutovisoma".Sishangai kwakuwa ndivyo tulivyokuzwa,
Ili tununue nguo lazima tuone picha (Si ubora wa nguo),Ili tununue Chombo cha usafiri ni Lazima tuangalie muonekano (Si uimara wa injini na gari kiujumla),Ili tuoe/tuwe katika mahusiano ni lazima tutizame sura (Si namna Fikara ya mtu ilivyo na matendo mema).
Kinachonifurahisha huwa ni Matokeo baada ya Kuona.Mwisho wa siku lazima tuchague koroma.
Ulishawahi kujiuliza ni kwanini Vipofu wanachagua vitu bora,Imara,kudumu katika mahusiano nk tofauti na sisi tunaopenda kuona picha?.Kafanye Tafiti na utaligundua hili.
Asalaam Mondray .
Kwani wewe uzuri wa mtu unaufahamu vipi?.Unatumia vigezo gani?.Hisia zinaona kuliko macho.
Kasema ni wazuri hapo ingebidi aweke na ppicha ili nasisi tuone uzuri wao.
Sura na tabia ndio vigezo vyangu.Kwani wewe uzuri wa mtu unaufahamu vipi?.Unatumia vigezo gani?.
Asalaam!
Ungekuwa na japo A, B, C, D's kuhusu Journalism usingeyaandika uliyoyauliza.Siku hizi Tanzania hata mtaalamu wa magonjwa ya moyo anasimamia umwagaji zege katika nyumba.Kadhalika muhandisi wa majengo naye anakuwa ni tabibu wa magonjwa ya akili.Haijawahi kutokea popote Duniani,ni kwa hapa nchini tu.Hainishangazi sana.Kusaili ndiyo msingi wa FIKRA huru,Hongera kwa hilo.
Unaposema "Hivi hawa Watangazaji haiwezekani tu wakaamua kufunga Ndoa ili waishi pamoja kusudi huku kupendezana Kwao kusiwe kunaishia tu Kipindini Radio One bali wawe hivyo hadi huko Kwao?,Una maana gani/ipi?.
Huko kupendeza kwao ni kwa Mujibu wako au Kwa mujibu wao?.Mapenzi ni batili Mkuu,kama ulipo sipo basi mtu aendelea kutafuta.Pengine moyo wa Mwaipaya haupo kwa Farhia kama pengine wewe ulivyotamani,Kadhalika na kwa Farhia pia.
Hapana Mkuu!mipovu yote hii ya nini mkuu? au ulitaka nikusifie wewe?
Kila la kheri.Inshaalah,Mungu akubariki.Sura na tabia ndio vigezo vyangu.
Hahaa Wabilah tofiqKila la kheri.Inshaalah,Mungu akubariki.
Endeleeni tu na Promo hicho kituo kimeshajifiaNawapenda mno akina Abdallah Mwaipaya na mwenzie Farhia Middle hasa wakiwa katika Kipindi chao cha Jumapili cha familia. Wana sauti nzuri, wacheshi na wanajua kuendesha vizuri hicho Kipindi chao na chemistry yao ni nzuri sana hadi natamani hata wangekuwa labda wameona na wanaishi pamoja kwani wanapendezana mno.
Hivi hawa Watangazaji haiwezekani tu wakaamua kufunga Ndoa ili waishi pamoja kusudi huku kupendezana Kwao kusiwe kunaishia tu Kipindini Radio One bali wawe hivyo hadi huko Kwao?
Nawapenda sana jamani na naomba wasiachane hasa wakiwa katika Kipindi.