Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clouds imezidi.Wasafi fm ni redio ya kipekee duniani, ni redio yenye washereheshaji wengi kuliko watangazaji
Huyo ni Baba Levo yupo huko huko Wasafi FMClouds imezidi.
Yule jamaa aliyesemaga akamkojolea gf wake bado Yuko kwenye payroll ya clouds?
Ni kuto kua makini hasa wakati watu wakiwa masomoni.Taifa la aibu sana hili!
Mimi kuna tangazo liko mijini linanikera sana sana!
Tuna badili line BULE, sijui nini BULE, BULEE hadi aibu! BAKITA wapo!
Anyway ngoja ni vumilie tu maana nasikia wasukuma hawana "R". Hiki ni kipindi cha kukubali Rais kuitwa LAISI, Miradi = MILADI n.k.
Wakuu,
Wasafi FM wanatangazo la kutuhimiza kwenda kupiga KURA. Ajabu kabisa hata waliolitengeneza hilo tangazo wameona mtangazaji yupo sasa kusema tukapige KULA tena kwa msisitizo.
Aibu.
Lafudhi ni tatizo la mtu binafsi japokua wahusika wa vyombo husika walipaswa kuiona hiyo kasoro na kuirekebisha kabla ya kuliachia hewani labda km walikusudia iwe hivyo.tasnia ya habari imevurugwa sana
Hilo ndo tatizo kubwa.Lafudhi ni tatizo la mtu binafsi japokua wahusika wa vyombo husika walipaswa kuiona hiyo kasoro na kuirekebisha kabla ya kuliachia hewani labda km walikusudia iwe hivyo.