Watangazaji kuweni makini na maneno

Hilo ndo tatizo kubwa.
Kampuni ina ruhusu vipi tangazo litoke hewani bila ya kulihakiki?
Mkuu inatakiwa awepo mtu mtaalamu wa lugha na lafudhi pia katika maeneo hayo.

Kuna siku niliskia sehemu wimbo wa rayvani eti talaka anasema taraaaka tena karudia mara kibao nikajiuliza huyu msanii inakuwaje anakosea neno la kawaida kama hili na amezungukwa na watu wengi tu ambao pengine wakawa wanajua neno hilo kwa ufasaha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…