GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika tasnia ya habri hasa watangazaji ambao sauti zao zinanipa shauku ya kuendelea kuwasikilza wakiwa wanatangaza ni hawa
1.Mabere Makubi ITV
2.Chase Hillary Azam TV
Tupia na wa kwako ambao sauti zao zinakuburudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
2.babu wa kimanzichana1.Marehemu David wakati RTD
2.Marehemu Julius nyisanga ancle JJ
3.Ahmed kipozi
4.Marin Hassan Marin
5.Charles Hillary
6.Ivona kamuntu
7.Ally salehe alikuwa bbc zaman ila sasa yupo azam
sent from iPhone 7+ using jamii forums mobile app
Regina mwalekwa [emoji106]Scola Kisanga --- Ea Radio
Mary Edward ----- Magic fm
Irene Tillya ---- East Africa Radio
Regina Mwalekwa popote alipo
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Upande wa Radio....idhaa ya kiswahili?? simsikii siku hizi sana au kwa kuwa naangalia ya kwenye TV labdaRegina mwalekwa [emoji106]
yupo BBC
yes, idhaa ya kiswahili.Upande wa Radio....idhaa ya kiswahili?? simsikii siku hizi sana au kwa kuwa naangalia ya kwenye TV labda
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Sayari ya PlutoHuyo Chase Hillary wa kutoka ' Sayari ' gani / ipi Mkuu? Nina hamu sana nimjue.
Sun nini sijui ila kinaanza saa 10 jioni kama una picha yake naomba@Joseverestyule aliyekuwa Triple A ya Arusha?? hapo Magic anatangaza kipindi gani sasa hivi
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App