Watangazaji wa Azamtv

Watangazaji wa Azamtv

Goodluck Mchika

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
1,228
Reaction score
1,138
Nauliza watangazaji wa Azamtv kwenye Ligi kuu ya Tanzania Bara , ina maana wachezaji nje ya Simba na Yanga awawezi kupambwa kwa wanachokifanya wakiwa wanashambulia hizo timu mbili kama wao wakiwa wanashambuliwa.
 
Back
Top Bottom