Goodluck Mchika JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 1,228 Reaction score 1,138 Feb 11, 2024 #1 Nauliza watangazaji wa Azamtv kwenye Ligi kuu ya Tanzania Bara , ina maana wachezaji nje ya Simba na Yanga awawezi kupambwa kwa wanachokifanya wakiwa wanashambulia hizo timu mbili kama wao wakiwa wanashambuliwa.
Nauliza watangazaji wa Azamtv kwenye Ligi kuu ya Tanzania Bara , ina maana wachezaji nje ya Simba na Yanga awawezi kupambwa kwa wanachokifanya wakiwa wanashambulia hizo timu mbili kama wao wakiwa wanashambuliwa.
Beberu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 4,548 Reaction score 9,740 Feb 11, 2024 #2 Watangazaji wapuuzi, Wachezaji nje ya simba na Yanga hawasifiwi kama wa simba na yanga, Watangazaji wapuuz
Watangazaji wapuuzi, Wachezaji nje ya simba na Yanga hawasifiwi kama wa simba na yanga, Watangazaji wapuuz
N nyanda madirisha JF-Expert Member Joined Apr 1, 2019 Posts 411 Reaction score 727 Feb 11, 2024 #3 Bilnis anawimbo wake mmoja hivi zingatiaa........!
Goodluck Mchika JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 1,228 Reaction score 1,138 Feb 11, 2024 Thread starter #4 Beberu said: Watangazaji wapuuzi, Wachezaji nje ya simba na Yanga hawasifiwi kama wa simba na yanga, Watangazaji wapuuz Click to expand... Inasikitisha
Beberu said: Watangazaji wapuuzi, Wachezaji nje ya simba na Yanga hawasifiwi kama wa simba na yanga, Watangazaji wapuuz Click to expand... Inasikitisha