Watangazaji wa Azamtv

Goodluck Mchika

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
1,228
Reaction score
1,138
Nauliza watangazaji wa Azamtv kwenye Ligi kuu ya Tanzania Bara , ina maana wachezaji nje ya Simba na Yanga awawezi kupambwa kwa wanachokifanya wakiwa wanashambulia hizo timu mbili kama wao wakiwa wanashambuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…