Watangazaji wa FM Redio miaka ya 90`s na early 2000`s

Kivumah

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,427
Reaction score
1,054
..Wanajamvi tujikumbushe Watangazaji wa FM Redios miaka ya 90`s na 2000`s ambao walikuwa wana ueledi (professionalism) ya Muziki katika vipindi vyao vya Radio. tofauti na sasa kila ukifungua Redio ni Bongo Fleva kutwa kucha
Mimi nawakumbuka hawa:
1. Charls Hillary - kipindi cha Charanga Time, Radio One. Mpaka akabatizwa Mzee wa Macharanga.
2. Masoud Masoud - Nae alianzia Radio One, miziki ya Salsa, Rhumba etc nilikuwa napenda kumsikiliza tu anavyoujua Muziki.
Yupo wapi sasa Masoud??

the list goes on guys...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…