Walikuwa wanatoa ushauri tu kufanya biashara.Mpoki ni mchekeshaji na ndo kazi yake pale, Bikira wa kisukuma ni genius sana...ushauri wake ni mzuri mara zote. Hapa nimeweka earphones nasikiliza ubaoni....ni Kwi kwi.[emoji23]
tena siyo pweza tu na kama vipi waanze kuimba singeri kwa sababu uku kwenye bongo fleva naona saizi yanawabeba tu majina yao ila nyimbo yao mpya ya ovyooo kinoma