Kusema ukweli utangazaji wa mpira Kombe la Dunia kupitia DStv lugha ya Kiswahili hauvutii.
Hao watangazaji ni kama siyo wataalam kwa hiyo kazi, maneno mengi, stori nyingi zisizoendana na matukio uwanjani, kalele nyingi mpaka mnasahau kama mnatangaza mpira, hamna taarifa na takwimu za wachezaji, mkimjua moja mtamtaja huyu mpaka mpira uishe loh!
Kwanini msijifunze kutoka kwa wale watangazaji kwenye lugha ya Kingereza? Wametulia katika utangazaji wao na wanaongea vitu muhimu tu.
Wakati mwingine mnajifanya kama wachambuzi au makocha wa timu husika, mnaboa kwa kweli.
Hao watangazaji ni kama siyo wataalam kwa hiyo kazi, maneno mengi, stori nyingi zisizoendana na matukio uwanjani, kalele nyingi mpaka mnasahau kama mnatangaza mpira, hamna taarifa na takwimu za wachezaji, mkimjua moja mtamtaja huyu mpaka mpira uishe loh!
Kwanini msijifunze kutoka kwa wale watangazaji kwenye lugha ya Kingereza? Wametulia katika utangazaji wao na wanaongea vitu muhimu tu.
Wakati mwingine mnajifanya kama wachambuzi au makocha wa timu husika, mnaboa kwa kweli.