nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Hehehe watu bhanaKuna mmoja apo yeye lukaku anamuitaga "lukaku gunia la chumvi:"
Mchambuzi anasema man utd walikuwa na ball position 56% wakati Liverpool walikuwa na ball position 44%%kuna nini hapo?Wanapiga kelele utadhani wapo kilabuni wanakunywa mbege..poor east africa radio