Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli huyo upete yuko vyemaTbc 1 wanatangaza vizuri bahkresa hamchukue nazareth upete anajua sana kutangaza balll na story kama zote za interpretation ya mchezaji mmoja mmoja
Kuna mtangazaji anatamka sana neno MALI, MALI. Nikadhani TZ inacheza na Mali.Hakuna timu ya taifa ya Tanzania iitwayo watoto wa mama wa Kizimkazi iliyoko mashindanoni AFCON bali tuna timu ya taifa iitwayo Taifa Stars tu sawa?
Hovyo kabisa.......!!
Apunguze umbea maana jamaa kama anasiri zako kwenye kutangaza mpira atazitoa zote ....Tbc 1 wanatangaza vizuri bahkresa hamchukue nazareth upete anajua sana kutangaza balll na story kama zote za interpretation ya mchezaji mmoja mmoja
Ndiyo maana wakibondwa mimi nafarijika sanaHakuna timu ya taifa ya Tanzania iitwayo watoto wa mama wa Kizimkazi iliyoko mashindanoni AFCON bali tuna timu ya taifa iitwayo Taifa Stars tu sawa?
Hovyo kabisa.......!!
Hupendi? Mbona kuna daraja la Magufuli hyping? Utakufa kwa roho mbaya yako.Hakuna timu ya taifa ya Tanzania iitwayo watoto wa mama wa Kizimkazi iliyoko mashindanoni AFCON bali tuna timu ya taifa iitwayo Taifa Stars tu sawa?
Hovyo kabisa.......!!