fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Watangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama vyuo vya uandishi wa habari vinastahili kupewa lawama hii,me nahisi ni kutokana na uelewa wa mwanafunzi/mtangazaji mwenyewe,maana hayo masuala ya R na L tunafundishwa tangia ngazi za Shule ya msingi kabisaUtitiri wa vyombo vya habari na vyuo vya uandishi a habari visivyokidhi vigezo pamoja na kutokuwepo chombo cha kudhibiti uchafuzi wa lugha ndiyo chanzo cha hayo yote.
Mh hao kila siku wanaomba hela hazijai tu! "Changia Redio Maria".Redio omba omba
Tatizo ni muajiri aliyeajiri watu hao maana mtu asiye na R, H, nk hafundishiki. Wahusika wanapaswa kuajiri watu wanaojiweza, nuktaWatangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
Watangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
Kinacho nikasirisha kusema Kila siku bikra la mariamu mpaka mtoto wangu Ana niuliza bikra ni nini. Nimejibu ni ccmWatangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe