Watangazaji wa Tanzania na neno 'By the Way"

Watangazaji wa Tanzania na neno 'By the Way"

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Hili neno kwa sasa lipo viral sana kwa watangazaji wa Tanzania, sijajua ni ulimbukeni au ni katika kujionyesha wamesoma na sio makanjanja.

Out of context utasikia hilo neno limechomekwa, huwa nakereka sana.
Limeanzia Clouds fm huko kwenye kipindi cha XXL and Amplyfier, naona sasa hata kwenye hivi Redio ndogo ili uonekane ni mtangazaji inakupaswa utamke hilo neno.

Jamani tafuteni neno jingine, majirani zetu Wakenya wanatuona malimbukeni.
 
Hili neno kwa sasa lipo viral sana kwa watangazaji wa Tanzania, sijajua ni ulimbukeni au ni katika kujionyesha wamesoma na sio makanjanja.

Out of contest utasikia hilo neno limechomekwa, huwa nakereka sana.
Limeanzia clouds fm huko kwenye kipindi cha XXL and Amplyfier, naona sasa hata kwenye hivi viredio vya kata ili uonekane ni mtangazaji inakupaswa utamke hilo neno.

Jamani tafuteni neno jingine, majirani zetu wakenya wanatuona malimbukeni.
Basi sema wapi wanakosea au mazingira gani linatumika sio blames tu mkuu..
So huu ni uwanja mzuri wakuelimishana
 
Kuna lingine hili....."speaking of...." yaani mpaka waliseme. Hata kama sio sehemu yake😂😂
 
Wewe hayo maneno ya kiingereza uliyochomeka hujaona maneno ya kiswahili?

Nyani haoni kundule.
Hoja sio kuchomeka kiingereza, hoja ni watumie maneno mengine, ambayo hata mimi nimeonyesha hapo.
 
Basi sema wapi wanakosea au mazingira gani linatumika sio blames tu mkuu..
So huu ni uwanja mzuri wakuelimishana
Ivi unaona ni sawa ndani ya kipindi cha dk 30, mtu kutumia hilo neno kwa zaidi ya mara 15! ?
 
B Dozen na Omary Tambwe wa the playlist ilo neno halikauki midomoni mwao...."by the way"
 
Kumbe XXL ndio wameligundua basi sawa
 
na kuna lile neno lingine unajua bana inanikelega sana daamn it
 
Speaking of this comment, unadhani linatakiwa liwe linatumika kwenye nini?
Yaani linatakiwa litumike kama kuna kitu kilizungumziwa kabla, then kuna ishu ingine inayokihusu hicho kitu then unataka kukiongezea. Sijui kama umenipata.
 
Back
Top Bottom