Elections 2010 Watangazaji wa TV pandeni jukwaani kupigia kampeni CCM, tuachieni kazi yetu.

Elections 2010 Watangazaji wa TV pandeni jukwaani kupigia kampeni CCM, tuachieni kazi yetu.

kasyabone tall

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2009
Posts
254
Reaction score
63
Kitu kinachonikera kwa tv zetu zote hasa wa startv na TBC ni pale wanapoacha kazi yao na kujiingiza kupiga kampeni. Wanaeleza hisia juu ya chama fulani kuliko kufanya kazi ya kuripoti kile kinachotokea. Utasikia mtangazaji anatangaza chama cha CCM kimenitoa mbali, hii ni kauli ya ushabiki juu ya chama, Kitu amabacho kinaonyesha huyu mtangazaji hawezi kuripoti vizuri kwa chama cha upinzani kama Chadema ambacho hakija mtoa mbali. Lakini kinachochangia yote haya ni ukosefu wa elimu kwa watangazaji wetu. Nafikiri sasa ni wakati mzuri wa vyombo vya habari kutungiwa sheria juu ya kuripoti habari za uchaguzi, Kama sivyo vyama vya upinzani vitashindiwa kwenye vyombo vya habari.
 
Watafahamu baadaye kuwa hivyo si vizuri. Mwalimu wao mwenyewe kipofu
 
In short media zetu zilivamiwa muda tu, sasa untegemea nini!!

Hawaelewi role yao kwa jamii hasa katika kipindi hiki....!!!
 
Nawashangaa StarTV kufanya ushabiki huo, wakati wao ni purely for commercial broadcasting tv!..au wanadhani watakaowalipa vizuri ni ccm tu?...huwa nawaangalia siwamalizi!
 
Back
Top Bottom