Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Habari wanaJF,Binafsi nilikuwa msikilizaji mzuri wa vipindi vya michezo ktk Redio zetu za Tz, hasa E-FM,Magic FM,RFA,Clouds na zingine kadhaa,lakini nilichoshwa na Radio hizi kuwa zinatafuta taarifa kwa watu ambao kwa mtazamo wangu si watu sahihi.Mimi sina taaluma ya uandishi wa habari lakini ktk mtazamo wa kawaida tu ambao hauhitaji taaluma hiyo,niligundua kabisa kuwa kuna mapungufu makubwa ktk utafutaji wa taarifa.
Yanga na Simba kwa siku za karibuni wamekuwa katika kipindi ambacho wao wanakiita mabadiriko ya mifumo ya uendeshaji wa timu zao na Simba wao wamefika mbali kiasi ukilinganisha na watani wao.Dukuduku langu ni pale wanapokuwa wanampigia Simu Bi Hindu au Mzee Akilimali kutaka kupata maoni yao wakati hawana utaalamu wowote ule ktk mambo ya Hisa na soka kwa ujumla,wapo mashabiki wengi na wanachama wenye uwezo wa kutoa maoni mazuri zaidi.Badilikeni Jamani
Yanga na Simba kwa siku za karibuni wamekuwa katika kipindi ambacho wao wanakiita mabadiriko ya mifumo ya uendeshaji wa timu zao na Simba wao wamefika mbali kiasi ukilinganisha na watani wao.Dukuduku langu ni pale wanapokuwa wanampigia Simu Bi Hindu au Mzee Akilimali kutaka kupata maoni yao wakati hawana utaalamu wowote ule ktk mambo ya Hisa na soka kwa ujumla,wapo mashabiki wengi na wanachama wenye uwezo wa kutoa maoni mazuri zaidi.Badilikeni Jamani