Watani zangu Kigoma watamudu masharti treni ya SGR? Wataacha kweli kusafiri na mizigo mkubwa? Wataacha kubeba vyakula? Serikali itoe elimu kwao!

Watani zangu Kigoma watamudu masharti treni ya SGR? Wataacha kweli kusafiri na mizigo mkubwa? Wataacha kubeba vyakula? Serikali itoe elimu kwao!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu wa kigoma ni watani zetu sisi kanda ya ziwa hususani Mkoa wa Mara.

Hivyo nahoji na kushauri watani zangu huku nikijiuliza kwa tabia zao watamudu masharti ya matumizi ya treni ya kisasa?

Wamezoea kusafi na treni ya kizamani huku wakibeba vyakula mbalimbali kama viazi vya kuchemsha, samaki migebuka, mahindi ya kuchemka, magimbi, mihogo ya kuchemsha na ugali wanaofunga kwenye migomba ya ndizi.

Je, watamudu kusafiri na treni ya kisasa ya SGR kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na TRC yanayopiga marufuku kusafiri au kuingia na Chakula ndani ya mabehewa?

Watamudu kweli masharti na kuacha tabia za kubeba mizigo mingi na mizito wakiwa safarini?

Nashauri Serikali iwape elimu ya kutosha watani zangu hao wa kigoma kabla ya kuwaruhusu kutumia huduma za SGR.

Niwatakie mchana mwema.

Pia soma
 
kati ya vitu SGR inatakiwa kujizatiti ni kwenye usafi, vyoo viwe visafi, wanaoingia wawe wasafi, watu hakuna kuingia na maroba, maroba yakae sehemu ya mizigo, hakuna mtu kuingia na mandoo ya migebuka na sangara, mavirufushi ya viazi, mbaazi sijui magimbi. watu lazima wajiadjust, mbona watu wakienda Ulaya wanaishi kiulaya, ila wakirudi hapa uchafu unaendelea?

Kuna baadhi ya mabasi ukiingia machafuuu, watu wananukaaa hawaogi, hilo wasilete kwenye treni. manake kuna watu nchi za nje wamezoea usafi wakija kupanda na hawa wengine, watashangaa sana, treni ya garama ila watu wachafu. halafu mbona usafi na ustaarabu ni kitu kizuri sana? na watu wakibanwa kwa mwezi mmoja tu watajiadjust.
 
Hati ya vitu SGR inatakiwa kujizatiti ni kwenye usafi, vyoo viwe visafi, wanaoingia wawe wasafi, watu hakuna kuingia na maroba, maroba yakae sehemu ya mizigo, hakuna mtu kuingia na mandoo ya migebuka na sangara, mavirufushi ya viazi, mbaazi sijui magimbi. watu lazima wajiadjust, mbona watu wakienda Ulaya wanaishi kiulaya, ila wakirudi hapa uchafu unaendelea?

Kuna baadhi ya mabasi ukiingia machafuuu, watu wananukaaa hawaogi, hilo wasilete kwenye treni. manake kuna watu nchi za nje wamezoea usafi wakija kupanda na hawa wengine, watashangaa sana, treni ya garama ila watu wachafu. halafu mbona usafi na ustaarabu ni kitu kizuri sana? na watu wakibanwa kwa mwezi mmoja tu watajiadjust.
Sawa Yesu anakuja
 
Mtu asiyeoga na kupiga mswaki, asiingie kwenye SGR
unanunua treni kwa garmaa kubwa, alafu mtu anakuja na matope yake hapa, kweli? mbona ukiwa ulaya ukiwa heleweki utapata shida sana, utakaa kwenye siti wataikimbia utabaki peke yako.
 
Wamama wa kisukuma wanaosafiri na watoto watatu seat moja sipati picha itakuwaje maana wanalala stendi Jengo la abiria asubuhi hawaogi na watoto wanalishwa vioporo vya mahindi na maziwa mtindi wakiingia kwenye usafiri ni mwendo wa kujamba tu 😁😁😁
kati ya vitu SGR inatakiwa kujizatiti ni kwenye usafi, vyoo viwe visafi, wanaoingia wawe wasafi, watu hakuna kuingia na maroba, maroba yakae sehemu ya mizigo, hakuna mtu kuingia na mandoo ya migebuka na sangara, mavirufushi ya viazi, mbaazi sijui magimbi. watu lazima wajiadjust, mbona watu wakienda Ulaya wanaishi kiulaya, ila wakirudi hapa uchafu unaendelea?

Kuna baadhi ya mabasi ukiingia machafuuu, watu wananukaaa hawaogi, hilo wasilete kwenye treni. manake kuna watu nchi za nje wamezoea usafi wakija kupanda na hawa wengine, watashangaa sana, treni ya garama ila watu wachafu. halafu mbona usafi na ustaarabu ni kitu kizuri sana? na watu wakibanwa kwa mwezi mmoja tu watajiadjust.
 
Kama wameajiri wakenya labda ila ma TT hawa hawa wa TRC.? Usitegemee watu wataendelea na mila za hovyo kwa kuwahonga TT. TT wananjaa sana hawaachi hata buku.
Anza kukemea TT waache njaa .
 
Wamama wa kisukuma wanaosafiri na watoto watatu seat moja sipati picha itakuwaje maana wanalala stendi Jengo la abiria asubuhi hawaogi na watoto wanalishwa vioporo vya mahindi na maziwa mtindi wakiingia kwenye usafiri ni mwendo wa kujamba tu 😁😁😁
kuna mmoja hadi alitaka kumtenga mtoto atite ndani ya basi,
 
Wamezoea kusafi na treni ya kizamani huku wakibeba vyakula mbalimbali kama viazi vya kuchemsha, samaki migebuka, mahindi ya kuchemka, magimbi, mihogo ya kuchemsha na ugali wanaofunga kwenye migomba ya ndizi.
Hivi ule ugali wao ukiwekwa ndani ya begi unaweza kukamatwa na king'amuzi?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ndugu zangu wa kigoma ni watani zetu sisi kanda ya ziwa hususani Mkoa wa Mara.

Hivyo nahoji na kushauri watani zangu huku nikijiuliza kwa tabia zao watamudu masharti ya matumizi ya treni ya kisasa?

Wamezoea kusafi na treni ya kizamani huku wakibeba vyakula mbalimbali kama viazi vya kuchemsha, samaki migebuka, mahindi ya kuchemka, magimbi, mihogo ya kuchemsha na ugali wanaofunga kwenye migomba ya ndizi.

Je, watamudu kusafiri na treni ya kisasa ya SGR kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na TRC yanayopiga marufuku kusafiri au kuingia na Chakula ndani ya mabehewa?

Watamudu kweli masharti na kuacha tabia za kubeba mizigo mingi na mizito wakiwa safarini?

Nashauri Serikali iwape elimu ya kutosha watani zangu hao wa kigoma kabla ya kuwaruhusu kutumia huduma za SGR.

Niwatakie mchana mwema.

Pia soma
Kumkataza mtu kubeba chakula chake ni ushamba na ukatiri uliovuka mipaka ya haki ya binadamu, watu hula vyakula kulingana na afya zao, wapo wasiotumia chumvi, mafuta na nyama, na wengine hatuna mazoea ya kula gengeni.
 
kati ya vitu SGR inatakiwa kujizatiti ni kwenye usafi, vyoo viwe visafi, wanaoingia wawe wasafi, watu hakuna kuingia na maroba, maroba yakae sehemu ya mizigo, hakuna mtu kuingia na mandoo ya migebuka na sangara, mavirufushi ya viazi, mbaazi sijui magimbi. watu lazima wajiadjust, mbona watu wakienda Ulaya wanaishi kiulaya, ila wakirudi hapa uchafu unaendelea?

Kuna baadhi ya mabasi ukiingia machafuuu, watu wananukaaa hawaogi, hilo wasilete kwenye treni. manake kuna watu nchi za nje wamezoea usafi wakija kupanda na hawa wengine, watashangaa sana, treni ya garama ila watu wachafu. halafu mbona usafi na ustaarabu ni kitu kizuri sana? na watu wakibanwa kwa mwezi mmoja tu watajiadjust.
Sahihi
 
Back
Top Bottom