Watani zangu wa pale bwawani kama nawaona vile walivyonuna.

Watani zangu wa pale bwawani kama nawaona vile walivyonuna.

squirtinator

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
2,765
Reaction score
4,182
Kwanza tunamshukuru Mungu kwa neema zake ktk kukubali sala na dua zetu.

Wenzangu wale watani naona leo mtakuwa mmeamka na hasira sana kwa hizi 'habari mbaya'.

Narudia, watani zangu wa jadi.
 
Mkuu,umeandika matakataka gani haya?
Kwani leo hujaenda Lumumba kuchukua buku saba yako?
Wahi haraka polepole anataka kutoka tena kimbia sana!
 
Kwanza tunamshukuru Mungu kwa neema zake ktk kukubali sala na dua zetu.

Wenzangu wale watani naona leo mtakuwa mmeamka na hasira sana kwa hizi 'habari mbaya'.

Narudia, watani zangu wa jadi.
Ha ha ha ha,bila shaka!
 
Mkuu,umeandika matakataka gani haya?
Kwani leo hujaenda Lumumba kuchukua buku saba yako?
Wahi haraka polepole anataka kutoka tena kimbia sana!
Umekurupuka,hujaelewa alichomanisha rudia kusoma,pia usiwe mgonjwa wa siasa
 
Watani walikuwa pamoja nasi kwenye huu mkasa.
Nawapongeza sana watani, kuanzia leo nitawaheshimu sana nje ya uwanja.
Leo nimefunga naombea wafungwe na Alliance FC.
[emoji4] [emoji123]
 
Watani walikuwa pamoja nasi kwenye huu mkasa.
Nawapongeza sana watani, kuanzia leo nitawaheshimu sana nje ya uwanja.
Leo nimefunga naombea wafungwe na Alliance FC.
[emoji4] [emoji123]
Rudi kajifunze kuombea, naona mambo yamekwendea visivyo
 
kama ni inside job hawezi kuwa na makeke kama zamani
 
Back
Top Bottom