Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wewe huna adabu kabisa!Kwanini Uji mnatamka " Uchi" ?
Wakurya hamuwezi kuutamka, z. Badala ya zamani, mnasema samani. Zaidi mnasema Saidi.TArime kubwa upo mjini ama?
Mimi sio mkurya.Wakurya hamuwezi kuutamka, z. Badala ya zamani, mnasema samani. Zaidi mnasema Saidi.
Kulaza kitu kama mbao, mnasema kurasa, maana hata l nayo hamna mna r pekee.Wakurya hamuwezi kuutamka, z. Badala ya zamani, mnasema samani. Zaidi mnasema Saidi.
Hao ndiyo wanaume, utakuwaje mweupe kama demu.Kwa nini wakurya wengi weusi kama mkaa?
Ndiyo ila tunataniana tukiwa na mapangaWanaume mnataniana???
Wanaume wamekatazwa kutaniana?Wanaume mnataniana???
Umeingia JF na mapanga?Ndiyo ila tunataniana tukiwa na mapanga
NimeulizaWanaume wamekatazwa kutaniana?
Na mademu hivohivoHao ndiyo wanaume, utakuwaje mweupe kama demu.
Padili ni badiliWakurya hamuwezi kuutamka, z. Badala ya zamani, mnasema samani. Zaidi mnasema Saidi.
Siwezi kutaniana na mtu anayekula Mavi ya ng'ombe!Wadau hamjamboni nyote?
Watani mnahusika
Lete utani wenye kuudhi na kukera nami nitakujibu
Naanza mimi ninyi Waha kwenye treni ya sgr haiwafai endeleeni kutumia ya mkoloni
Mavi ya ng'ombe anayachukua kwenye zizi auSiwezi kutaniana na mtu anayekula Mavi ya ng'ombe!