Watanionaje...? Itakulaza njaa

Watanionaje...? Itakulaza njaa

Bonsipele69

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2023
Posts
364
Reaction score
915
Habari za asubuhi familia.

Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.

Naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko alisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche alolo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.

Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndio utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje.

Nawasilisha
 
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwahasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.. naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko ukisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche aloo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.. Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndo utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje... Nawasilisha
Hii imewagharimu wengi, "STATUS" hewa.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwahasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.. naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko ukisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche aloo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.. Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndo utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje... Nawasilisha
baelezee hata mimi niko huku nabeba boksi napiga hela yaani niliona bongo bahati mbaya.
 
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwahasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.. naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko ukisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche aloo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.. Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndo utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje... Nawasilisha
20240717_151737.jpg


SERIKALI YETU SIKIVU INATAMBUA FURSA NYINGI ZA VIJANA WA KITANZANIA. Ukijiunga na UVCCM , sauti yako itasikika. Karibu kijana mwenzangu ndani ya chama bora.

POPOTE ULIPO MAMBO NI KIDIJITALI.
 
Nimekumbuka mbali sana....nilikuwa na deli langu la keki ghafla demu niliyemaliza naye sekondari akaniona...nilitamani nitupe deli Ila nikajikaza tu
Ila sasa mambo yamebadilika nimepiga hatua na wala simuwazi mtu tena kwa niliyoyapitia
 
Back
Top Bottom