Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.
Naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko alisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche alolo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.
Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndio utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje.
Nawasilisha
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.
Naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko alisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche alolo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.
Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndio utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje.
Nawasilisha