Watanzania acheni kumdharirisha Samatta kwenye mitandao ya kijamii ya Genk

Watanzania acheni kumdharirisha Samatta kwenye mitandao ya kijamii ya Genk

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,775
wakuu mkipitia katika page za timu ya KRC-GENK, ya belgium anakocheza mtanzania mwenzetu mbwana samatta,, utakuta wabongo wamezifollow page za facebook na instagram za hiyo timu,sasa kimbembe kinakuja wakati hizo page zikipost habari yeyote watanzania wanakomenti.. SAMATTA,mara SAMAGOOL.mara CHAMPION BOY, wakati post za ile timu zinatolewa kwa kibeligiji na KINGEREZA,, kuna wabongo wanaweka mpaka matusi kwenye zile page,jamani watanzania tubadirike tunamuaibisha mwenzetu.
 
wakuu mkipitia katika page za timu ya KRC-GENK, ya belgium anakocheza mtanzania mwenzetu mbwana samatta,, utakuta wabongo wamezifollow page za facebook na instagram za hiyo timu,sasa kimbembe kinakuja wakati hizo page zikipost habari yeyote watanzania wanakomenti.. SAMATTA,mara SAMAGOOL.mara CHAMPION BOY, wakati post za ile timu zinatolewa kwa kibeligiji na KINGEREZA,, kuna wabongo wanaweka mpaka matusi kwenye zile page,jamani watanzania tubadirike tunamuaibisha mwenzetu.
Ilo sio tatizo maana sie wa dar tunaongozwa na zero
 
Mi nimeona, yaani aibu naona mimi kaka. Sasa sijui ukosefu wa elimu au ufala tu. Malofa wengi kweli kweli kwenye hii internet shwaini.
 
wakuu mkipitia katika page za timu ya KRC-GENK, ya belgium anakocheza mtanzania mwenzetu mbwana samatta,, utakuta wabongo wamezifollow page za facebook na instagram za hiyo timu,sasa kimbembe kinakuja wakati hizo page zikipost habari yeyote watanzania wanakomenti.. SAMATTA,mara SAMAGOOL.mara CHAMPION BOY, wakati post za ile timu zinatolewa kwa kibeligiji na KINGEREZA,, kuna wabongo wanaweka mpaka matusi kwenye zile page,jamani watanzania tubadirike tunamuaibisha mwenzetu.
Ajuza Mange Kimambi effect!!
Huko ndiko iliko kozi ya kupotomosha matusi
 
wa
Kama lengo la ujumbe wao umfikie Samatta acha waandike hata kizaramo sioni tatizo kama wao ambavyo wanaandika kibelgiji kwa nini tukae kimya kisa hatujui kiingereza na kibelgiji wakati tunamkubali kijana wetu.
natoa hadi matusi mkuu unakuta wanapost kuhusu ununuzi wa tiketi wao wanaandika samatta
 
yaaani
Mi nimeona, yaani aibu naona mimi kaka. Sasa sijui ukosefu wa elimu au ufala tu. Malofa wengi kweli kweli kwenye hii internet shwaini.
aibu hadi kero
 
Kakutuma au kalalamika sehemu tabia za kujifanya wazungu acha waswahili tuishi kiswahili we kimekuuma nini acha watiririke samagoal habari wanayo ulitaka tujipozee wapi wakati kwa sizo hali mbaya
 
wakuu mkipitia katika page za timu ya KRC-GENK, ya belgium anakocheza mtanzania mwenzetu mbwana samatta,, utakuta wabongo wamezifollow page za facebook na instagram za hiyo timu,sasa kimbembe kinakuja wakati hizo page zikipost habari yeyote watanzania wanakomenti.. SAMATTA,mara SAMAGOOL.mara CHAMPION BOY, wakati post za ile timu zinatolewa kwa kibeligiji na KINGEREZA,, kuna wabongo wanaweka mpaka matusi kwenye zile page,jamani watanzania tubadirike tunamuaibisha mwenzetu.

Nenda kapite kwenye account za timu kubwa kama Madrid,Man United na Barcelona uone jinsi watu wanavyoandika.
 
wakuu mkipitia katika page za timu ya KRC-GENK, ya belgium anakocheza mtanzania mwenzetu mbwana samatta,, utakuta wabongo wamezifollow page za facebook na instagram za hiyo timu,sasa kimbembe kinakuja wakati hizo page zikipost habari yeyote watanzania wanakomenti.. SAMATTA,mara SAMAGOOL.mara CHAMPION BOY, wakati post za ile timu zinatolewa kwa kibeligiji na KINGEREZA,, kuna wabongo wanaweka mpaka matusi kwenye zile page,jamani watanzania tubadirike tunamuaibisha mwenzetu.
kuna lugha ya kibeligiji kweli, au wewe sio wa sayari hii!!?
 
haaaaa kwa

hiyo wanapost kwa kijerumani afu kifaransa afu kidachi hii kali
mbona hapo Rwanda bungeni unaweza kutumia kiingereza, kifaransa, kiswahili au kinyarwanda. zote ni oficial languages !! usibishe kitu usichojua hskuna lugha ya kibeligiji.
 
Back
Top Bottom