RUKUKU BOY JF-Expert Member Joined Sep 8, 2015 Posts 1,516 Reaction score 1,775 Mar 19, 2017 Thread starter #21 p moghasa said: mbona hapo Rwanda bungeni unaweza kutumia kiingereza, kifaransa, kiswahili au kinyarwanda. zote ni oficial languages !! usibishe kitu usichojua hskuna lugha ya kibeligiji. Click to expand... itia kwenye web za genk utajua kila nchi wana lugha zao
p moghasa said: mbona hapo Rwanda bungeni unaweza kutumia kiingereza, kifaransa, kiswahili au kinyarwanda. zote ni oficial languages !! usibishe kitu usichojua hskuna lugha ya kibeligiji. Click to expand... itia kwenye web za genk utajua kila nchi wana lugha zao
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,319 Mar 20, 2017 #22 Sasa hivi naenda kuchafua ukurasa wa Genk, huwezi kutupangia tumpendaje mwanetu mtoto wa Mbagala...
C Chige JF-Expert Member Joined Dec 20, 2008 Posts 13,495 Reaction score 29,872 Mar 21, 2017 #23 RUKUKU BOY said: wa natoa hadi matusi mkuu unakuta wanapost kuhusu ununuzi wa tiketi wao wanaandika samatta Click to expand... Ili mradi wanaandika kwa Kiswahili basi alhamdullillah manake Wabelgiji watadhani wanaandika "...nunua tiketi ukamshuhudie Samatta!"
RUKUKU BOY said: wa natoa hadi matusi mkuu unakuta wanapost kuhusu ununuzi wa tiketi wao wanaandika samatta Click to expand... Ili mradi wanaandika kwa Kiswahili basi alhamdullillah manake Wabelgiji watadhani wanaandika "...nunua tiketi ukamshuhudie Samatta!"