Salt Bae
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 140
- 196
Yani ukifwatilia page ya wachezaji wa Uganda unakuta Watanzania wanawaambia wachezaji wa Uganda wawaachie washinde ili wana East Africa waende Afcon mimi naona Uganda wanajua kuwa wanaweza wasikaze sana hii match ila Watanzania punguzeni viherehere bora ata mngekuwa mnacomment comment zakujinasibu kuwa Uganda hamtatoka Uwanja wa taifa lazma mfungwe.
Nashauri comment ziwe zakujigamba kuwa tutawafunga kuliko zakusema oh! sijui sisi ni ndugu oh! sijui sisi ni wana Afrika Mashariki oh! sijui Juuko jifunge au sababisha penati
Nashauri comment ziwe zakujigamba kuwa tutawafunga kuliko zakusema oh! sijui sisi ni ndugu oh! sijui sisi ni wana Afrika Mashariki oh! sijui Juuko jifunge au sababisha penati