The Burning Spear JF-Expert Member Joined Dec 23, 2011 Posts 4,118 Reaction score 9,864 Feb 5, 2023 #1 Tanzanian tukiendelea na kulala huku tukisikiliza ngonjera za CCM. Tutatengeneza familia maskini kupindukia huku familia za wanasiasa mambo yao yakiwa mazuri. MTU akikunyima hela kakunyima Uhuru utabaki mtumwa na ombaomba kila siku. Yale yanayoendelea Nchini na Majibu yanayotolewa na CCM ni utoto mwingi. Kiufupi nchi ya Tanzania wanaofaidi ni wanasiasa wengine mnabaki kushangilia tu. Bila katiba mpya na watu kuamua kubadilika tunasafari ndefu sana katika kulikomboa Taifa kutoka Kwa wanyang'anyi CCM. Your browser is not able to display this video.
Tanzanian tukiendelea na kulala huku tukisikiliza ngonjera za CCM. Tutatengeneza familia maskini kupindukia huku familia za wanasiasa mambo yao yakiwa mazuri. MTU akikunyima hela kakunyima Uhuru utabaki mtumwa na ombaomba kila siku. Yale yanayoendelea Nchini na Majibu yanayotolewa na CCM ni utoto mwingi. Kiufupi nchi ya Tanzania wanaofaidi ni wanasiasa wengine mnabaki kushangilia tu. Bila katiba mpya na watu kuamua kubadilika tunasafari ndefu sana katika kulikomboa Taifa kutoka Kwa wanyang'anyi CCM. Your browser is not able to display this video.
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 9,830 Reaction score 20,686 Feb 5, 2023 #2 Idadi ya wajinga Tanzania ni kubwa mno.. Watanzania wamesha ridhika na umaskini na ujinga. Na siku zote mjinga akibaki mjinga, Wajanja na werevu wanakula Mema ya nchi.. Make them ignorant, while giving them a piece of their rights...
Idadi ya wajinga Tanzania ni kubwa mno.. Watanzania wamesha ridhika na umaskini na ujinga. Na siku zote mjinga akibaki mjinga, Wajanja na werevu wanakula Mema ya nchi.. Make them ignorant, while giving them a piece of their rights...
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Feb 6, 2023 #3 Infropreneur said: Idadi ya wajinga Tanzania ni kubwa mno.. Watanzania wamesha ridhika na umaskini na ujinga. Na siku zote mjinga akibaki mjinga, Wajanja na werevu wanakula Mema ya nchi.. Make them ignorant, while giving them a piece of their rights... Click to expand... Hatujachelewa, viongozi wetu ni wepesi sana tukiamua haitapita wiki 2 serikali ipo chali.
Infropreneur said: Idadi ya wajinga Tanzania ni kubwa mno.. Watanzania wamesha ridhika na umaskini na ujinga. Na siku zote mjinga akibaki mjinga, Wajanja na werevu wanakula Mema ya nchi.. Make them ignorant, while giving them a piece of their rights... Click to expand... Hatujachelewa, viongozi wetu ni wepesi sana tukiamua haitapita wiki 2 serikali ipo chali.
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 9,830 Reaction score 20,686 Feb 6, 2023 #4 fazili said: Hatujachelewa, viongozi wetu ni wepesi sana tukiamua haitapita wiki 2 serikali ipo chali. Click to expand... Nani wa kuamua sasa? Watanzania wengi ni waoga sana.walisha ridhika na hali duni zao na Umaskini. Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
fazili said: Hatujachelewa, viongozi wetu ni wepesi sana tukiamua haitapita wiki 2 serikali ipo chali. Click to expand... Nani wa kuamua sasa? Watanzania wengi ni waoga sana.walisha ridhika na hali duni zao na Umaskini. Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app