Watanzania bhana, tuwaoga sana tunaogopa Mainstream media sana, tubadilike tuone normal!

Watanzania bhana, tuwaoga sana tunaogopa Mainstream media sana, tubadilike tuone normal!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Bongo yetu hata kimemo tu kikitoka kwenye Ofisi ya Ubalozi ya Muzungu tunaanza kutafutana, mtu akiandika maoni yake kuhusu nchi yetu kwa jinsi aonavyo yeye kwenye Magazeti ya Muzungu tena hata siyo main page kwenye vijikurasa vya ndani huko nchi nzima tunatetemeka na kuanza kujadili, I mean hivi siku kama Raisi wa USA akisimama na kuitaja nchi yetu live kwa ubaya hiyo siku si tutajamba cheche na hata kuzirahi kwa uoga?

Kuna nchi kila siku zinaandikwa na Muzungu kwa ubaya kwa jinsi aonavyo Muzungu na maisha yanaendelea, TZ yetu haijawahi hata tu kutajwa live na Waziri Muzungu live kwenye TV ukiondoa labda twira, hata tu CNN sikawahi kusikia.

Tuache uwoga, Sisi Sasa ni Middle Income Country hivyo ni kawaida kuwa na Maadui, tuache kujitetea, tujiamini, ...
 
Ni kweli kabisa. Halafu siyo peke yetu tunaosemwa vibaya na mabeberu.
Woote kutoka bara hili hatuachwi kusemwa semwa.
Ona hata Zambia wanavyosemwa, eti debt to GDP ratio iko 120%. Kipindi cha yule aliyekufa ilikuwa 32%.

 
Nimesoma hili bandiko lako, nikatafuta humo neno Kenya nikalikosa, najaribu kutafuta uhusiano wa ulichoandika na sisi Wakenya sioni, sasa unawaandikia Watanzania ila unabandika kwenye jukwaa la Wakenya, inaonyesha namna gani mumeweweseka na kupoteana kisa mumetajwa kwenye hicho unaita kimemo cha ukurasa wa ndani wa magazeti ya mabeberu.
Haya copy paste upeleke kwenye jukwaa lenu la siasa upokee za uso huko, kwa kuweka hapa umepotea njia, inawezekana hata haujui wapi ulipost.
 
Bongo yetu hata kimemo tu kikitoka kwenye Ofisi ya Ubalozi ya Muzungu tunaanza kutafutana, mtu akiandika maoni yake kuhusu nchi yetu kwa jinsi aonavyo yeye kwenye Magazeti ya Muzungu tena hata siyo main page kwenye vijikurasa vya ndani huko nchi nzima tunatetemeka na kuanza kujadili, I mean hivi siku kama Raisi wa USA akisimama na kuitaja nchi yetu live kwa ubaya hiyo siku si tutajamba cheche na hata kuzirahi kwa uoga?

Kuna nchi kila siku zinaandikwa na Muzungu kwa ubaya kwa jinsi aonavyo Muzungu na maisha yanaendelea, TZ yetu haijawahi hata tu kutajwa live na Waziri Muzungu live kwenye TV ukiondoa labda twira, hata tu CNN sikawahi kusikia.

Tuache uwoga, Sisi Sasa ni Middle Income Country hivyo ni kawaida kuwa na Maadui, tuache kujitetea, tujiamini, ...

Adversity builds character and Tanzania hasn't had much of it
 
Back
Top Bottom