Watanzania Fadhili na Ibrahim kuwania Tsh. Bilioni 2.4 katika Fainali za America's Got Talent

Mkuu BARD AI , thanks for this!. Kilichobaki ni Watanzania tuungane kuwaombea washinde.
P
 
Spirit ya ushindi ya mama Samia inasambaa ulimwengu mzima.

Do it Brothers.
FaizaFoxy , japo nakupedanga ila kwa hili nazidi kukupenda, hapa umefundisha watu humu kitu kikubwa sana kiitwacho, "spirit ya ushindi ya Mama Samia" inasambaa ulimwengu mzima!.

Japo watu humu watakuita chawa, usiwajali, endelea kuwafundisha somo la the powers of positive thinking, positivity na positivism kwa kutumia the spirit of Mama Samia.

2015 mimi niliwafundisha watu humu Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu Kiongozi Tunayemtaka!. Mdomo Huumba!.

Na baada ya matokeo ya 2015 nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Hivyo tunapowaambia watu humu kumhusu Mama Samia, Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania mtatuita chawa, tuiteni tuu lakini ni kweli kupitia Samia, Taifa linabarikiwa, Samia anakwenda kuwapa Watanzania uchaguzi Mkuu huru na wa haki, na baada ya uchaguzi analeta katiba mpya!.

Kila mmoja wetu akiitumia hii spirit ya ushindi ya Mama Samia, kwa kuwish hawa vijana washinde watashinda!.
P
 
Hongera Mheshimiwa Rais Samia suluhu hasani Kwa kuupiga Mwingi katika awamu yako😂😂😂
 
Faiza awamu hii unatamba haya bana
Wakati wako huu [emoji1]

Ova
 
Spirit ya ushindi ya mama Samia inasambaa ulimwengu mzima.

Do it Brothers.
Wangeitwa Johnson brothers usingekuja hapa chawa wa wavaa kobazi

USSR
 
Wangeitwa Johnson brothers usingekuja hapa chawa wa wavaa kobazi

USSR
Hakuna Muislam mwenye roho ya kijinga.

Unatakiwa uwe kwenye amani na Waislam. Wewe mwenyewe ukiujuwa Uislam utajuta kwanini umechelewa kuwa Muislam.

Brothers Johnson umenikumbusha ujanani, tulikuwa "tunajirudi madebe" yao:


View: https://youtu.be/eN2Iv8P23t0?si=iAggvbVseOKEki1H
Muulize mama'ko hajajirudi hizo?
 
Pambaneni vijana, mkipata pesa.
wadada wa mjini wana wasubiri
 
Hivi mpaka kufika fainali kuna mpunga wowote wanapewa?

Mtu akipata heshima ya Golden Buzzer huwa kuna mshiko anapewa???
 
Spirit ya ushindi ya mama Samia inasambaa ulimwengu mzima.

Do it Brothers.
Mama samia anahusika kwenye lipi hapo?

Kwanza, Tanzania yenyewe kuna watu hata hawaijui ni nini, Yani uki muuliza mtu Tanzania ni nini? wala hajui.

Jina la nchi tu, Halijulikani sembuse huyo mama?
 

Mleta Uzi leta links ili wadau tuwapigie Kura brothers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…