Watanzania Fadhili na Ibrahim kuwania Tsh. Bilioni 2.4 katika Fainali za America's Got Talent

Bahati mbaya muda wa kupiga kura umekwisha
 
serikali ya ccm imekua begakwabega kuibua na kuvifikisha vipaji vya watanzania ngazi ya juu kabisa
 
Hizo ndio sifa za watu weusi, wao always ni ku deal na mambo ya kipuuzi, hata njia zao za kutoboa kimaisha pia ni za kipuuzi. Sisi tupo bzy kushindana kupiga ngema wazungu wanaitawala DUnia.
 
WIshing them all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…