faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 34
Wadau mambo vipi?kabla ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani kuna watanzania ambao walikuwa hawajulikani kabisa.ila baada ya kushika nyadhifa mbalimbali wamejulikana kwa watanzania wengine!
baada ya miaka mitano ya uongozi wa serikali ya awamu ya nne kukaribia ukingoni siku chache zijazo tutaanza uongozi wa serikali ya awamu ya tano...............nilikuwa natafakari watanzania gani wamejipatia umaarufu kwa mazuri waliyotenda kwenye uongozi wao ndani ya miaka mitano kiasi kwamba tushauri viongozi wapya watakaoteuliwa/kuchaguliwa waige mfano wao na watanzania gani wamepata umaarufu kwa madudu waliyofanya kwenye uongozi hadi viongozi watarajiwa wajiepushe kufanya madudu hayo!
hapa naongelea viongozi wa ngazi ya juu serikalini kama vile mawaziri,ma naibu,wakuu wa mikoa na wilaya mameya pamoja na wabunge!
baada ya miaka mitano ya uongozi wa serikali ya awamu ya nne kukaribia ukingoni siku chache zijazo tutaanza uongozi wa serikali ya awamu ya tano...............nilikuwa natafakari watanzania gani wamejipatia umaarufu kwa mazuri waliyotenda kwenye uongozi wao ndani ya miaka mitano kiasi kwamba tushauri viongozi wapya watakaoteuliwa/kuchaguliwa waige mfano wao na watanzania gani wamepata umaarufu kwa madudu waliyofanya kwenye uongozi hadi viongozi watarajiwa wajiepushe kufanya madudu hayo!
hapa naongelea viongozi wa ngazi ya juu serikalini kama vile mawaziri,ma naibu,wakuu wa mikoa na wilaya mameya pamoja na wabunge!