Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Tunakujua wewe ni nyang'au.

Hata Kiswahili chako kimekusaliti.
Acha ufala wewe nani NYANG'AU wewe unaweza kunifundisha kiswahili au mm ndio nikufundishe lugha ya kiswahili nyie watu mlio toka maporini mna taabu sn maan lugha fasah ya kiswahili chenyewe hamkifahamu.
 
Bro, yaani kama ungekuwa na uwezo wa kuifanya Tanzania kuwa KAUINTI ya kenya nadhani ungeshafanya wallah... Humalizi mwezi bila kuitaja Tanzania in a VERY NEGATIVE WAY... utadhani nyie ni malaika huko mliko na maukabila yenu...
 
Bro, yaani kama ungekuwa na uwezo wa kuifanya Tanzania kuwa KAUINTI ya kenya nadhani ungeshafanya wallah... Humalizi mwezi bila kuitaja Tanzania in a VERY NEGATIVE WAY... utadhani nyie ni malaika huko mliko na maukabila yenu...
Bila kuitaja taja Tanzania mkono wake hauendi kinywani.
Mpuuze.
 
Bro, yaani kama ungekuwa na uwezo wa kuifanya Tanzania kuwa KAUINTI ya kenya nadhani ungeshafanya wallah... Humalizi mwezi bila kuitaja Tanzania in a VERY NEGATIVE WAY... utadhani nyie ni malaika huko mliko na maukabila yenu...

Duh! Ningekua naitaja Tanzania kwa mabaya mbona server za watu zingejaa, yaani nikipitia majukwaa yenu yamerindima taarifa za kiajabu ajabu, humu huwa nataja issue moja moja tu ambayo inajadilika kwa Wakenya.
 
Duh! Ningekua naitaja Tanzania kwa mabaya mbona server za watu zingejaa, yaani nikipitia majukwaa yenu yamerindima taarifa za kiajabu ajabu, humu huwa nataja issue moja moja tu ambayo inajadilika kwa Wakenya.
Unataka tufukunyue nyuzi zako ndo uamini kuwa unakesha kujaza server kuichafua Tanzania..!!? Hujataja issue moja tu na hujaanza leo.... Nyie si mnasema na Kilimanjaro ipo kwenu, Mbwana Samata mkenya etc..!!
 
Unataka tufukunyue nyuzi zako ndo uamini kuwa unakesha kujaza server kuichafua Tanzania..!!? Hujataja issue moja tu na hujaanza leo.... Nyie si mnasema na Kilimanjaro ipo kwenu, Mbwana Samata mkenya etc..!!

Ndio nimekuambia ukifukunyua hizo hata hazitafikia 0.2% ya matukio yenu, yaani nikiamua kuvileta humu ambavyo huwa naviona kila siku mbona mtakoma.....
Halafu acha kuwa mnafiki unajitoa ufahamu hauoni namna mumejipanga kupost matatizo ya Kenya kila siku, tukijibu kidogo huwa mnalialia sana.
 

Acha uzembe, mtie bidii muanze kusikika kwenye majina ya wakubwa, tatizo lenu mdebwedo na soga za vijiweni wakati wenzenu tunabukua...
 

English raha bwana, ila watu wazembe kama nyie hamuwezani, ilishawapiga chenga...sisi tunateleza kwa Kingereza....hatuna ze ze ze
 
Ilikua zamani mazee...karibu tena sasa hivi ndo ujue english ni ishu ya kuamua tu wala sio upendeleo.

Nyie ni wale wale hamna jipya...niliona video professa wenu tena waziri wa elimu hajui English, utadhani anaongea Kisukuma...acheni uzembe.
 
Mkuu mbona Tanzania hua haikutoki kwenye kinywa chako. Inaonakana waipenda sana na inaonekana watamani sana kua mtanzania ,
Hamia tu huku na ukane uraia Wa Nchi yake uje huku , karibu sana .
Maana Nchi zilizoizunguka kenya ni nyingi lakini wewe kila Siku na Tanzania tuu
 
Kiwango cha elimu hakipimwi kwa umaarufu wa vyuo nyie watu. Angalieni impact/end product. Tazama ushiriki wa wataalam wa kitanzania kwenye miradi yetu mikubwa kisha jipimeni na nyinyi ndiyo mtajua nani wanazo universities na nani wanayo majengo ya kutafutia vyeti.
 
Udom is the largest University in East & Central Africa. Kutoka point A hadi→ B, lazma upande gari.
Na Nairobi university lazima pandemic gari Kadhaa hata haitoshi kwa shamba moja its spread alover Nairobi ingejengwa yote pamoja ingekua a small city in itself so its divided into schools kama medicine iko kando business kando and stuff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…