Watanzania hatuna mipango kabisa...

Watanzania hatuna mipango kabisa...

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Habari zenu....

Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana..

Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa vile,kazi wanabadilisha maduka tu kutafuta uniform mpya na vifaa vingine vya shule.

Najiuliza hapa kama wangefanya maandalizi yao toka mwenzi wa 11 au 12 mwanzoni shida hii ingewapata wapi??.

Wanaofurahia upumbavu wa hao wazazi ni wamachinga,leo wanapiga pesa sana,nguo za shule hazishikiki kariakoo zimepanda bei sana.

Walijisahau sikuku wakala bata na beer leo hii wanakuja gundua walifanya ubwege.

Viatu veusi vya shule mwenzi wa 9 vilikuwa havina thamani kabisa hata 6000 unapata tena unabembelezwa ununue.

Leo hii sasa kwanzia 18000 mpaka 25000 tena ubembelezwi,kama wangejua toka mwanzo siwangenunua wavieke ndani??

Watanzania daima tutabaki kufanya mambo nnje ya mda,ndo maana unampa mtu ahadi ya kuonana saa 10 anakuja saa 11,yani hatuendi na mda kabisa.

Hapa najiuliza sijui tutakuwa wa mwisho kuchomwa moto??
 
Habari zenu....

Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana..

Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa vile,kazi wanabadilisha maduka tu kutafuta uniform mpya na vifaa vingine vya shule.

Najiuliza hapa kama wangefanya maandalizi yao toka mwenzi wa 11 au 12 mwanzoni shida hii ingewapata wapi??.

Wanaofurahia upumbavu wa hao wazazi ni wamachinga,leo wanapiga pesa sana,nguo za shule hazishikiki kariakoo zimepanda bei sana.

Walijisahau sikuku wakala bata na beer leo hii wanakuja gundua walifanya ubwege.

Viatu veusi vya shule mwenzi wa 9 vilikuwa havina thamani kabisa hata 6000 unapata tena unabembelezwa ununue.

Leo hii sasa kwanzia 18000 mpaka 25000 tena ubembelezwi,kama wangejua toka mwanzo siwangenunua wavieke ndani??

Watanzania daima tutabaki kufanya mambo nnje ya mda,ndo maana unampa mtu ahadi ya kuonana saa 10 anakuja saa 11,yani hatuendi na mda kabisa.

Hapa najiuliza sijui tutakuwa wa mwisho kuchomwa moto??
Wengine wanatapeliwa 15k kwa kupenda mtelezo wa Gb za bure
 
Habari zenu....

Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana..

Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa vile,kazi wanabadilisha maduka tu kutafuta uniform mpya na vifaa vingine vya shule.

Najiuliza hapa kama wangefanya maandalizi yao toka mwenzi wa 11 au 12 mwanzoni shida hii ingewapata wapi??.

Wanaofurahia upumbavu wa hao wazazi ni wamachinga,leo wanapiga pesa sana,nguo za shule hazishikiki kariakoo zimepanda bei sana.

Walijisahau sikuku wakala bata na beer leo hii wanakuja gundua walifanya ubwege.

Viatu veusi vya shule mwenzi wa 9 vilikuwa havina thamani kabisa hata 6000 unapata tena unabembelezwa ununue.

Leo hii sasa kwanzia 18000 mpaka 25000 tena ubembelezwi,kama wangejua toka mwanzo siwangenunua wavieke ndani??

Watanzania daima tutabaki kufanya mambo nnje ya mda,ndo maana unampa mtu ahadi ya kuonana saa 10 anakuja saa 11,yani hatuendi na mda kabisa.

Hapa najiuliza sijui tutakuwa wa mwisho kuchomwa moto??
Upo sahihi ndugu juu ya hili.
 
Habari zenu....

Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana..

Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa vile,kazi wanabadilisha maduka tu kutafuta uniform mpya na vifaa vingine vya shule.

Najiuliza hapa kama wangefanya maandalizi yao toka mwenzi wa 11 au 12 mwanzoni shida hii ingewapata wapi??.

Wanaofurahia upumbavu wa hao wazazi ni wamachinga,leo wanapiga pesa sana,nguo za shule hazishikiki kariakoo zimepanda bei sana.

Walijisahau sikuku wakala bata na beer leo hii wanakuja gundua walifanya ubwege.

Viatu veusi vya shule mwenzi wa 9 vilikuwa havina thamani kabisa hata 6000 unapata tena unabembelezwa ununue.

Leo hii sasa kwanzia 18000 mpaka 25000 tena ubembelezwi,kama wangejua toka mwanzo siwangenunua wavieke ndani??

Watanzania daima tutabaki kufanya mambo nnje ya mda,ndo maana unampa mtu ahadi ya kuonana saa 10 anakuja saa 11,yani hatuendi na mda kabisa.

Hapa najiuliza sijui tutakuwa wa mwisho kuchomwa moto??
Wa mwisho kuchomwa moto 🤔
Sema wa kwanza kuchomwa moto
 
Habari zenu....

Kuna mambo yanafanyika tanzania tu,tena yanatia aibu sana..

Kesho wanafunzi wanafungua shule,ila wazazi wao wameshindwa kufanya maandalizi siku nyingi ya kujianda na shule,leo hii ndo wanashituka sasa,yani unakutana na wazazi wapo na watoto wao kariakoo kama wamechanganyikiwa vile,kazi wanabadilisha maduka tu kutafuta uniform mpya na vifaa vingine vya shule.

Najiuliza hapa kama wangefanya maandalizi yao toka mwenzi wa 11 au 12 mwanzoni shida hii ingewapata wapi??.

Wanaofurahia upumbavu wa hao wazazi ni wamachinga,leo wanapiga pesa sana,nguo za shule hazishikiki kariakoo zimepanda bei sana.

Walijisahau sikuku wakala bata na beer leo hii wanakuja gundua walifanya ubwege.

Viatu veusi vya shule mwenzi wa 9 vilikuwa havina thamani kabisa hata 6000 unapata tena unabembelezwa ununue.

Leo hii sasa kwanzia 18000 mpaka 25000 tena ubembelezwi,kama wangejua toka mwanzo siwangenunua wavieke ndani??

Watanzania daima tutabaki kufanya mambo nnje ya mda,ndo maana unampa mtu ahadi ya kuonana saa 10 anakuja saa 11,yani hatuendi na mda kabisa.

Hapa najiuliza sijui tutakuwa wa mwisho kuchomwa moto??
Usishangazwe na mauzauza ya serikali ya Tz, chanzo ni familia. Kama familia haijipangi, basi serikali nayo inakuwa hivyo hivyo. Mauzauza hoyee!!
 
Napenda kukufaamisha kuwa maisha ya watanzania wengi kipato chetu ni pesa ya kula tu yani tunaishi chini ya dola moja.
 
Mwenyezi Mungu ambariki sana Mama yangu. Nakumbuka miaka ile nilipokuwa nazunguka naye Kariakoo kununua vifaa na uniform za shule. Amenipambania sana!
 
Back
Top Bottom