nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Pongezi sana kwa Mbowe lakini watanzania hatujafanya yanayotupasa
Nchi ili ikamikishe maendeleo lazima ipitie kwenye hatua chungu na za wakati mgumu kwa baadhi ya wapigania haki kupata mateso makali ya kudhulumiwa haki na hata kupoteza mali au maisha yao hasa wakati taifa likipitia katika kipindi cha udikteta maana huo sio ukoloni ni watu wenye nchi kuwaumiza wenyenchi wenzao kwa ajili ya maslahi yao
Huu wakati ni mgumu sana maana watesi wanawajua na kuishi na wanaowatesa. Sisi kama taifa naona hatujafanya litupasalo kufanya ili kujikomboa dhidi ya watesi kenya majirani zetu walipitia hali ngumu sana wakati wa mzee Kenyatta na Moi. Hawa walikuwa ndio Katiba na ndio Serikali wakisema wao ukijibu umepotezwa walipogundua watesi wao wanatumia udhaifu wa katiba wakaamua 2010 kufa au kupona na walikufa wengi lakini leo hii hakuna nchi yenye uhuru na katiba nzuri kama kenya hata watesi wao wanapotaka kutumia ukabila kurudisha nyuma bado katiba inawabana mbavu tanzania tuamke hakuna uhuru wa fikra mawazo na kutembea bila kuutafuta kwa nguvu watesi huwa hawautakagi huo uhuru maana kwa mpaka wanapokuja uraiani ndio katiba inakuwa muhimu kwao
Nchi ili ikamikishe maendeleo lazima ipitie kwenye hatua chungu na za wakati mgumu kwa baadhi ya wapigania haki kupata mateso makali ya kudhulumiwa haki na hata kupoteza mali au maisha yao hasa wakati taifa likipitia katika kipindi cha udikteta maana huo sio ukoloni ni watu wenye nchi kuwaumiza wenyenchi wenzao kwa ajili ya maslahi yao
Huu wakati ni mgumu sana maana watesi wanawajua na kuishi na wanaowatesa. Sisi kama taifa naona hatujafanya litupasalo kufanya ili kujikomboa dhidi ya watesi kenya majirani zetu walipitia hali ngumu sana wakati wa mzee Kenyatta na Moi. Hawa walikuwa ndio Katiba na ndio Serikali wakisema wao ukijibu umepotezwa walipogundua watesi wao wanatumia udhaifu wa katiba wakaamua 2010 kufa au kupona na walikufa wengi lakini leo hii hakuna nchi yenye uhuru na katiba nzuri kama kenya hata watesi wao wanapotaka kutumia ukabila kurudisha nyuma bado katiba inawabana mbavu tanzania tuamke hakuna uhuru wa fikra mawazo na kutembea bila kuutafuta kwa nguvu watesi huwa hawautakagi huo uhuru maana kwa mpaka wanapokuja uraiani ndio katiba inakuwa muhimu kwao