Watanzania hawana adabu kumsema Rais!


Achana naye ni walewale tu!!!!!!!!!!!!
 
Badilisha kichwa cha habari kwenye ujumbe wako pamoja na kuwa hapa jf ni dare to talk hili neno adabu limetumika ndivyo sivyo, nina imani jf wachangiaji wote wako safi isipokuwa wewe ndiyo huna adabu. hebu jiulize rais anakwenda Jamika kwenda kuonana na mwanamziki kama aliyemwacha nchini kwake na kaenda na ujumbe mkubwa kwa fedha za walala hoi, huu siyo uharibifu wa mali za umma? ILI TUENDELEE NCHI HII WATU WENYE MAWAZO BUTU KAMA YA KWAKO, TUNATAKIWA TUWAPOTEZEE
 


Kula tano,

Rais huyu anayegida na kubweda ana adabu gani kwa watanzania wanaokufa na vumbi na jua kali?
 

Mkuu wa watu wako? Yupi pilato au pengo? Mbona hao wakuu wa watu wako ndio walimuua Bwana Yesu? Ungali ukishikamana nao? Tia akili wanaheshimika ikiwa tu... Na kamwe sii vinginevyo. Sidhani kama unafahamu mkuu hasa wa kweli na stahiki Bwana Yesu aliwaita mbweha wakati fulani
 
Ili kupata adabu, unahitaji na wewe uwe na adabu. Pale unapowakosea watu adabu, basi hustahili kamwe kupewa adabu, hasa kama wewe u mkubwa, kiongozi, mzazi na kadhalika. Kwanza waliokpo chini yako watasikitika, watakata, tamaa, watakasirika na hatimaye watakukosea adabu. Hivyo ndivyo hali ilivyo. Kinyume cha hapo ni utumwa tu.
 
Huyu kama kiwavi jeshi vile! mmmh
 
kweli matahira ni wengi nchi hiii. unatukana watanzania duuu kweli we taaahila kweli!!
 
Unamawazo yanayoendana na ukweli,lakini umekosa hekima,busara na lugha nzuri ya kuelezea hoja yako.Nakushauri upate kwanza elimu ya tabia kwa jamaa zako wa karibu.
 
Mtoa mada naona ni kama "Makamba type".
Kipimo cha busara ya mtu utaiona kwenye mambo asiyo yapenda na jinsi anavyoweza kujieleza wakati brain imekuwa tortured. Huwezi kuwaambia watu wazima wenzako hawana adabu. Kwanza huo ni msemo wa kitoto ambao hutumiwa kuwaonya watoto waliokiuka maadili, huwa sio sahihi kumwambia mtu mzima amekosa adabu. Kumfikiria mwenzako hana adabu ni kutokuwa na adabu.

Ushauri: Makosa mawili hayafanyi moja kuwa sahihi, ukitaka mawazo mazuri usichokoze watu katika mazingira ya kukera kama ulivyofanya.
 
nenda ukalale na kunyonya kama inawezekana humu si mahali pako!
 

Utajiri wa vibwengo ndani ya JF!
 
Wewe kibaraka unapata wapi ujasiri wa kuwafunga watu midomo?! Nchi inazama watu wakae kimya? Huoni political vacuum iliyopo kwa sasa hapa nchini? Wenye upeo wa kuona na kuongoza wanatoa angalizo ili Nchi isielekee kuzimu kama tulivyoona kwa nchi jirani. Inaonekana wewe ni mmoja wale wanaoshiriki kuzamisha nchi kwa kujiita wanamtandao! Upuuzi mtu, falsafa ya mtandao usio na tija ni upumbavu, matokeo yake ni kupeana madaraka bila kuwa na vigezo halali vya kuongoza. Tumeona mifano hai ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, ma-RC, mawaziri n.k ambao hawawezi hata kuelezea mfumo wa serikali unavyofanya kazi. Unategema nchi itaendelea kwa majungu na kulipiza visasi? Muda umefika sasa ambapo watanzania watasemsa tumechoka na siasa mbovu za wanamtandao!
 


Mwingine huyu !!!! Utawaona wataibuka wakina Mzindakaya wengi tu sana , Hii tabia ya kumsifu Kikwete kwenye nyakati hizi za maandalizi ya uchaguzi naona inakuwa kama fashion ya kujaribu kumshawishi RAIS awakumbukeni..!!Kwa kweli watu wa jinsi hii wanakatisha tamaa sana !!!!
 

Mi nadhani wewe ni JUHA namba moja, na kwamba umetumwa hapa na hao unaojipendekeza kwao haswa,,, sijui unatafuta nafasi ya kuendea kubembea JAMAICA!! LOL!! hatukuhutaji hapa Jf
 

Ndugu, unamaanisha watanzania-na wewe ukiwa mmojawapo-kwa sababu una sifa za kuwa mtanzania au unamaanisha "wana JF"-kwa sababu hata wewe una sifa za kuwa mwana JF?? Tena uwatake radhi watanzania kwa kuwaambia hawana adabu. Ni vizuri ukatofautisha kati ya kusoma na kuelimika.
 
falesy ulikuwa na hoja nzuri, ukashindwa kuijenga vizuri na bado unashindwa kuitetea na haswa ulivyoimalizia kwa neno ulilomaliza nalo, unaonyesha na wewe ni hivyo!.
 
falesy
Member


Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 41
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 3 Posts

I need not say more.
 
Waambie wana blog, maana sisi tukisema tumetumwa
Sasa wewe MkamaP ulikuwa na sababu gani hasa ya kuanzisha pen name mpya ulikueleza upupu wako? Falsey a.k.a MkamaP YOU ARE A PURE MENTAL CASE. Kukuonyesha WTZ wana adabu kwa post hii ulistahili matusi ya nguoni lakini kwa sababu watu wanajiheshimu wamekuonya na kukushauri tu. Huyo Makamba wako adabu ikowapi kuwaita wazee wenzie wehu? Huyo Rais wako mchovu adabu iko wapi kudai watu wanaomkosoa wana chuki na wivu. Kapimwe akili yako kama Rais wako alivyojua ana matatizo ya akili akaamua kupimwa.
 
Huyu mheshimiwa inaelelkea anaota, Tanzania wala sio miongoni mwa nchi zenye uhuru wa habari. Ukimsema vibaya mkubwa kinachofuata unajua mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…