Watanzania hawapendi elimu uzi wa mambo ya scholarships una likes 9 tu

Watanzania hawapendi elimu uzi wa mambo ya scholarships una likes 9 tu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:

Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.

Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
 
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:

Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.

Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
"Ajira hakuna elimu ya nini?"
Alisikika kijana mmoja jobless akiwa chakali, bwii kutoka kwenye kisungura.
 
Humu wengi wana kazi zao zenye mishahara minono na marupurupu kibao na tena ni wafanyabiashara wakubwa
 
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:

Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.

Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Tunataku kuongelea soka na kubeti
 
Vijana hawana tumaini, wamejawa hofu na maisha yao..... alisema CDF.
 
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:

Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.

Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Na hatu huu wako nautabiria like zisizozidi 10 na commen 15
 
Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:

Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.

Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Nikiweka like japo sijapata scholarship
 
Hata Uzi huu una comment chache pia.
 
Back
Top Bottom