Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
"Ajira hakuna elimu ya nini?"Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:
Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka
Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships 2024/2025...www.jamiiforums.com
Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.
Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Tunataku kuongelea soka na kubetiNilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:
Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka
Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships 2024/2025...www.jamiiforums.com
Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.
Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Na hatu huu wako nautabiria like zisizozidi 10 na commen 15Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:
Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka
Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships 2024/2025...www.jamiiforums.com
Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.
Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
We jamaa ni hatari"Ajira hakuna elimu ya nini?"
Alisikika kijana mmoja jobless akiwa chakali, bwii kutoka kwenye kisungura.
[emoji3061]"Ajira hakuna elimu ya nini?"
Alisikika kijana mmoja jobless akiwa chakali, bwii kutoka kwenye kisungura.
Wanataka mpaka wakumbushweNa hatu huu wako nautabiria like zisizozidi 10 na commen 15
Hili ni kweli kabisaVijana hawana tumaini, wamejawa hofu na maisha yao..... alisema CDF.
Nikiweka like japo sijapata scholarshipNilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii:
Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka
Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships 2024/2025...www.jamiiforums.com
Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu.
Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi hayo ndio malipo yangu.
Tatizo walioelimika hawana vyeti wala sifa za kuomba hizo nafasi, na walio na vyeti na sifa za kuomba kichwani weupe kabisa, hamna kitu.Wanataka mpaka wakumbushwe
Serikali ndiyo yakulaumiwa...