pleti namba
Member
- Feb 17, 2015
- 91
- 32
Habar wakuu
Jana nimetizama taarifa ya habari huko babati shule ya awali wanafunzi wanafundishwa na mwalimu ambae hajawai soma darasa lolote sasa haya ni maajabu
Pili shule ina uhaba wa vifaa vya kufundishia kama ubao na chaki hata madaftari wanafunzi hawana
Mmoja wa wanakijiji aliehojiwa anasema hao watoto wamesahaulika?! sasa swali langu ni nani amewasahau? inamaana wazazi wameshindwa kujichanga kununua box la chaki-1500, kipande cha ubao, na kununulia watoto wao madaftari ya 200?!!! Kweli kwa hili tusubiri serikali na wadhamini??
Embu amkeni jamani tuache uvivu hata wa kufikiri cha ajabu hao wanakijiji ni wakulima na wafugaji
Jana nimetizama taarifa ya habari huko babati shule ya awali wanafunzi wanafundishwa na mwalimu ambae hajawai soma darasa lolote sasa haya ni maajabu
Pili shule ina uhaba wa vifaa vya kufundishia kama ubao na chaki hata madaftari wanafunzi hawana
Mmoja wa wanakijiji aliehojiwa anasema hao watoto wamesahaulika?! sasa swali langu ni nani amewasahau? inamaana wazazi wameshindwa kujichanga kununua box la chaki-1500, kipande cha ubao, na kununulia watoto wao madaftari ya 200?!!! Kweli kwa hili tusubiri serikali na wadhamini??
Embu amkeni jamani tuache uvivu hata wa kufikiri cha ajabu hao wanakijiji ni wakulima na wafugaji