Watanzania huwa hawanunui gari inayotumia mafuta mengi hata kama ina ubora wa hali ya juu

Watanzania huwa hawanunui gari inayotumia mafuta mengi hata kama ina ubora wa hali ya juu

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
1000070972.jpg
Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea

Kuliko wachukue afadhali pesa hizo wakanywee bia
Jamaa wa Brevis huyo anatupa kwa 2m hakuna hata anayesogelea
 
Tatizo ni pesa na hakuna mikopo ya pesa kwa credit card kulipia magari mazuri , just imagine mtu mwenye gari bongo anaonekana tajiri , tena ka gari ka hovyo tu🤔
Kabisa. Nchi za wenzetu ukiwa na ajira ama biashara yeyote inayokuingizia kipato ni dhamana tosha ya kuweza kukufanya uwe na gari au nyumba kwa malipo ya installments.
 
View attachment 3240822Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea
Gari za kutumia mafuta mingi achia chawa ,mafisadi na mafisi,wewe tafuta ya viwango vyako hutajuta wala kuwa mtumwa wa gari yako.
 
View attachment 3240822Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea
Tatizo pesa ya wese mkuu hilo ni shetani kwenye wese
 
View attachment 3240822Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea
Bongo hatukosei kama wewe sio Fundi au hauzi spare, gari la chini ya million 6 na sio VITZ unatafuta Stress na Kifo cha mapema.
 
Naona mfalme wa Masafa marefu anauzwa sokoni Kwa bei ya kutupaaa.
Hiyo sio gari ya mjini kwenye foleni ndiyo maana wengi wenye hayo magari ni watu wa kusafiri kilasiku.
Hiyo chuma inatumia wishbones mbele na nyuma yaani kwenye mashimo inateleza ikiwa na speed 50 bila shida
 
Naona mfalme wa Masafa marefu anauzwa sokoni Kwa bei ya kutupaaa.
Hiyo sio gari ya mjini kwenye foleni ndiyo maana wengi wenye hayo magari ni watu wa kusafiri kilasiku.
Hiyo chuma inatumia wishbones mbele na nyuma yaani kwenye mashimo inateleza ikiwa na speed 50 bila shida
Jamaa anatupa kwa 2m hakuna hata mteja anayesogelea
 
View attachment 3240822Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea

Kuliko wachukue afadhali pesa hizo wakanywee bia
Jamaa wa Brevis huyo anatupa kwa 2m hakuna hata anayesogelea
DCP imeshakula chumvi ya kutosha bongo.. Ishu sio wese ishu ni ubora.. Ila aliyezichawia hizi gari Munngu anamuona😂
 
DCP imeshakula chumvi ya kutosha bongo.. Ishu sio wese ishu ni ubora.. Ila aliyezichawia hizi gari Munngu anamuona😂
1000070992.jpg

Zimechawiwa sio bure hata zilizonyooka hazisogelewi 😂
 
View attachment 3240822Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu

Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta tu

Hata uuze gari yako sh laki tano kama inatumia kiasi kikubwa cha mafuta hakuna mteja atakayechukua, hata wateja wa spea hutawaona kwasababu watakapozinunua hazitakuwa na soko

Katika pitapita zangu nimekutana na watu wanauza gari bei rahisi sana lakini hakuna mteja hata mmoja anayesogelea

Kuliko wachukue afadhali pesa hizo wakanywee bia
Jamaa wa Brevis huyo anatupa kwa 2m hakuna hata anayesogelea


Watanzania ni Mathikini na mathikini hana KIAPO!!!
 
Back
Top Bottom