Watanzania huwa wepesi kuamini uzushi

Watanzania huwa wepesi kuamini uzushi

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Mimi ni Mtanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa Kitanzania huwa ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje.

Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Matokeo ya aina ya elimu na kufimbia macho culture za umbea
 
Mbona nguvu nyingi zinatumika kuaminisha mambo kuwa ni ya uongo?Muwe mnashsuriana/kuonyana kabla hamjafanya madudu halafu yajulikane.Tazama mnavyopata tabu!
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Inategemea na jambo lenyewe.

Ukweli huwa una kawaida ya kujidhihirisha wenyewe waziwazi, na uongo huwa una kawaida ya kupigiwa promotion ili kuufanya uaminiwe na watu kuwa ni Ukweli
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Sio watanzania wote wako hivyo,,,na inategemea huo uzushi ni wa aina gani, hii ni hulka ya binadamu wengi duniani.
 
Mbona nguvu nyingi zinatumika kuaminisha mambo kuwa ni ya uongo?Muwe mnashsuriana/kuonyana kabla hamjafanya madudu halafu yajulikane.Tazama mnavyopata tabu!
hoja hii haigemei upande wowote wa kisiasa ipo kukemea upotoshwaji na upotoshaji
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Hata hii habari Watanzania tusiotaka uzushi tutajuaje si uzushi?
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Hii changamoto kubwa sana, wanaamini chochote bila hata kuchanganua chanzo; hamnaga swali la "hivi hiyo taarifa umeitoa wapi na mimi nisome"
 
Inategemea na jambo lenyewe.

Ukweli huwa una kawaida ya kujidhihirisha wenyewe waziwazi, na uongo huwa una kawaida ya kupigiwa promotion ili kuufanya uaminiwe na watu kuwa ni Ukweli
umesema vyema . ila wa TZ tujitahidi kuwa watafiti wa mambo kuliko kupokea kila tunachoambiwa
 
Tabia ya watanzania utaijua kupitia vyombo vya habaru na mitandao ya jamii.
Angalia Mange abavyopiga pesa kupitia umbra, shigongi kapsta ubunge kwa kuanzisha magazeti ya umbeya, hizi fm redui asilimia kubwa ni habari za umbeya.
 
Mimi ni m Tanzania nalifahamu vizuri Taifa langu na haiba ya watu wake, moja ya tatizo kubwa la raia wa ki Tanzania hua ni wepesi sana Kuamini uzushi, jambo likisemwa wao hua wanalipokea kama lilivyo bila kulifanyia tafiti au kusikiliza upande mwengine unasemaje . Wanasiasa wanaocheza siasa za kihuni hua wanatumia mwanya huo kueneza nia zao za hovyo kulaghai uma wa watu kwa mambo yasiyo na ukweli
Kwa sababu wengi hawana akili, hawawawezi ku reason wala ku research. Ni wapumbavu wamepumbazwa na Moshi wa mafusho ya Mwenge. Wanapelekwa tu mbiombio na hawajui wanakopelekwa
 
Kwa sababu wengi hawana akili, hawawawezi ku reason wala ku research. Ni wapumbavu wamepumbazwa na Moshi wa mafusho ya Mwenge. Wanapelekwa tu mbiombio na hawajui wanakopelekwa
kabisa dada yangu , ni rahisi sana kucheza na akili za wabongo
 
Back
Top Bottom