Hivi ni kwa nini karibia kila intelligent and high IQ black man hapa Tanzania watasema siyo Mtanzania? Je, sifa ya utanzagiza ni low IQ , underachieving, low self esteem and backwardness?
Kila black man anayefanya vizuri watamzushia Mkenya, utasikia mrwanda mara hata kongo, kwa nini ? kwa ninj mnaogopa challenge besides mnataack only black men, huwezi kisikia wakisema mtu kama Shivji siyo mtanzagiza, huwezi sikia watu kama dewjis, wamanga wa gsm au akina manjis wakishambuliwa siyo watanzagiza, why black on black?
Hivi ni kwa nini karibia kila intelligent and high IQ black man hapa Tanzania watasema siyo Mtanzania? Je, sifa ya utanzagiza ni low IQ , underachieving, low self esteem and backwardness?
Kila black man anayefanya vizuri watamzushia Mkenya, utasikia mrwanda mara hata kongo, kwa nini ? kwa ninj mnaogopa challenge besides mnataack only black men, huwezi kisikia wakisema mtu kama Shivji siyo mtanzagiza, huwezi sikia watu kama dewjis, wamanga wa gsm au akina manjis wakishambuliwa siyo watanzagiza, why black on black?
kwaiyo wewe ndio unajifanya una akili kuliko Kitengo cha usalama??
Wamewez kuiweka salama nchi miaka zaidi ya 50 ww umekunywa mbege unakuja kuandika utoporo