Watanzania Jessica Mshama na Isaack Buhiye watajwa Forbes Under 30

Watanzania Jessica Mshama na Isaack Buhiye watajwa Forbes Under 30

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
jessica-j-sisters.jpg

Jarida la Forbes katika toleo lake la 9 limetoa orodha ya ‘FORBES AFRICA 30 Under 30’ Vijana 30 wenye ushawishi mkubwa Barani Africa kwenye Sekta za Ujasiriamali, Uvumbuzi na Uongozi ambao unakuza uchumi na unaongoza mustakabali wa Afrika ambapo Tanzania imeingiza Vijana wawili akiwemo Mtanzania Jessica Julius Mshama (27) @jessicamshama ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya ‘Nakua Na Taifa Langu’ na Mkurugenzi wa Shule ya Assumpter Digital Schools pia ni Balozi wa Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mtanzania mwingine ni Isaack Damian Buhiye (28) ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “Firm 23 Limited” ni miongoni mwa Vijana wenye umri chini ya miaka 30 walioorodheshwa kwenye jarida hilo la Forbes kwa mwaka 2023.
 
Aibu Sana kijana Kama mimi siwafikii hao hata robo na bado haitoshi hata habari zao sijui Ila habari za umbea sasa.. nimeanza kuamini kaumasikini kana tabia fulani hivi Kama kauchawi...
 
jessica-j-sisters.jpg

Jarida la Forbes katika toleo lake la 9 limetoa orodha ya ‘FORBES AFRICA 30 Under 30’ Vijana 30 wenye ushawishi mkubwa aka 30 walioorodheshwa kwenye jarida hilo la Forbes kwa mwaka 2023.
Hebu tuwekee page yenye hyo kitu
 
jessica-j-sisters.jpg

Jarida la Forbes katika toleo lake la 9 limetoa orodha ya ‘FORBES AFRICA 30 Under 30’ Vijana 30 wenye ushawishi mkubwa Barani Africa kwenye Sekta za Ujasiriamali, Uvumbuzi na Uongozi ambao unakuza uchumi na unaongoza mustakabali wa Afrika ambapo Tanzania imeingiza Vijana wawili akiwemo Mtanzania Jessica Julius Mshama (27) @jessicamshama ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya ‘Nakua Na Taifa Langu’ na Mkurugenzi wa Shule ya Assumpter Digital Schools pia ni Balozi wa Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mtanzania mwingine ni Isaack Damian Buhiye (28) ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “Firm 23 Limited” ni miongoni mwa Vijana wenye umri chini ya miaka 30 walioorodheshwa kwenye jarida hilo la Forbes kwa mwaka 2023.
Kitu hiyo, weka na wewe ya forbes
596b41c60cd848bd9d226df5bbd9e407.jpg
 
jessica-j-sisters.jpg

Jarida la Forbes katika toleo lake la 9 limetoa orodha ya ‘FORBES AFRICA 30 Under 30’ Vijana 30 wenye ushawishi mkubwa Barani Africa kwenye Sekta za Ujasiriamali, Uvumbuzi na Uongozi ambao unakuza uchumi na unaongoza mustakabali wa Afrika ambapo Tanzania imeingiza Vijana wawili akiwemo Mtanzania Jessica Julius Mshama (27) @jessicamshama ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya ‘Nakua Na Taifa Langu’ na Mkurugenzi wa Shule ya Assumpter Digital Schools pia ni Balozi wa Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mtanzania mwingine ni Isaack Damian Buhiye (28) ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “Firm 23 Limited” ni miongoni mwa Vijana wenye umri chini ya miaka 30 walioorodheshwa kwenye jarida hilo la Forbes kwa mwaka 2023.
Editing tupu. Hii kitu ukiikuta live unaweza kulia
 
jessica-j-sisters.jpg

Jarida la Forbes katika toleo lake la 9 limetoa orodha ya ‘FORBES AFRICA 30 Under 30’ Vijana 30 wenye ushawishi mkubwa Barani Africa kwenye Sekta za Ujasiriamali, Uvumbuzi na Uongozi ambao unakuza uchumi na unaongoza mustakabali wa Afrika ambapo Tanzania imeingiza Vijana wawili akiwemo Mtanzania Jessica Julius Mshama (27) @jessicamshama ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya ‘Nakua Na Taifa Langu’ na Mkurugenzi wa Shule ya Assumpter Digital Schools pia ni Balozi wa Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mtanzania mwingine ni Isaack Damian Buhiye (28) ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “Firm 23 Limited” ni miongoni mwa Vijana wenye umri chini ya miaka 30 walioorodheshwa kwenye jarida hilo la Forbes kwa mwaka 2023.
Forbes ya ccm lumumba hiyo
 
Aibu Sana kijana Kama mimi siwafikii hao hata robo na bado haitoshi hata habari zao sijui Ila habari za umbea sasa.. nimeanza kuamini kaumasikini kana tabia fulani hivi Kama kauchawi...
[emoji28][emoji28]

Aisee!
 
So huyo binti mama yake ndiyo yule mbunge wa zamani kutoka Kagera; Assumpter Mshama! Na pia alishawahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani enzi za JK kama sijakosea.

Kwa hiyo kimsingi alisha andaliwa maisha. Mtoto wa masikini, ni aghalabu kuifikia hiyo hatua katika umri wa miaka 27.
 
Back
Top Bottom