Uhamishaji umeanza siku nyingi sana kabla hata ya kuingia Magu...Umesomeka kwamba usajili wa biashara umeongezeka sana nchini Rwanda na Kenya hasa kwa wawekezaji kutoka Tanzania na watalaam wa mambo wanaona kama ni kukimbia visasi vinavyo tolewa na serikali ya magufuli hasa pale inapotokea kutofautiana mitazamo au kuto unga mkono serikali yake.
Tanzania nasikia process inachukua miezi 6!!Kenya Rwanda unasajili biashara online instantly, No ukiritimba.
Wewe kula kulala hujui lolote!! Nenda Rwanda kajionee wafanya biashara wanavyojaliwa na serikali.ukwepe kulipa kodi, ukibanwa ulalamike. ...kaanzishe kwa Kagame na ukwepe kodi uone cha mtema kuni!
This country has aTanzania nasikia process inachukua miezi 6!!
Source???Umesomeka kwamba usajili wa biashara umeongezeka sana nchini Rwanda na Kenya hasa kwa wawekezaji kutoka Tanzania na watalaam wa mambo wanaona kama ni kukimbia visasi vinavyo tolewa na serikali ya magufuli hasa pale inapotokea kutofautiana mitazamo au kuto unga mkono serikali yake.
Kajaribu kuyala hayo malisho na usitoe maziwa ya kutosha ....uone kama 'hutakamuliwa damu' watu wapate 'kichuri'.....!! Nenda Rwanda kajionee wafanya biashara wanavyojaliwa na serikali.
....!!
Wewe kula kulala hujui lolote!! Nenda Rwanda kajionee wafanya biashara wanavyojaliwa na serikali.
Ukimkamua ng'ombe mpe malisho mazuri ili astawi na kutoa maziwa... sio nyie mnakamua tu mpaka anatoa damu halafu hamumpi malisho!!
Nani ahamie? Wewe kula kulala hivi vitu huviwezi... rudi instagram kwa team wema wenzako.Sasa si muhamie huko Rwanda/Kenya ni kwanini mnapiga kelele hapa?
mmmmh!!!This country has a
Wonder readers know!
But we just wait next!
Wewe kula kulala hujui lolote!! Nenda Rwanda kajionee wafanya biashara wanavyojaliwa na serikali.
Ukimkamua ng'ombe mpe malisho mazuri ili astawi na kutoa maziwa... sio nyie mnakamua tu mpaka anatoa damu halafu hamumpi malisho!!