Watanzania kutajwa kwenye jarida la Forbes huwa inakuaga kama mkosi?

Watanzania kutajwa kwenye jarida la Forbes huwa inakuaga kama mkosi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Jarida la Forbes ni jarida maarufu zaidi duniani kufuatilia watu mashuhuri hasa matajiri au vijana wanaotegemewa kuwa mashuhuri au wenye ushawashi mkubwa sana siku za mbeleni.

Kwa nini Watanzania wengi vijana wanaotajwa katika hili jarida huwa wanapotea katika ramani au wanabaki wa kawaida tu?

Mfano
Patrick Ngowi- Mjasiriamali wa solar
Jokate- Urembo
Idris Sultan- Msanii
Isaya Yunge- Dijitali
Manji- Alifilisika
Mo-kashindwa kulipa bilioni20 Simba.

Wapo vijana wengine wengi Watanzania waliowahi kutajwa katika hili jarida ila sasa hivi ni wa kawaida tu huko mtaani.

20240822_094319.jpg
 
Jarida la Forbes ni jarida maarufu zaidi duniani kufuatilia watu mashuhuri hasa matajiri au vijana wanaotegemewa kuwa mashuhuri au wenye ushawashi mkubwa sana siku za mbeleni.
Kwa nini Watanzania wengi vijana wanaotajwa katika hili jarida huwa wanapotea katika ramani au wanabaki wa kawaida tu? mfano
Patrick Ngowi- Mjasiriamali wa solar
Jokate- Urembo
Idris Sultan- msanii
Isaya Yunge- dijitali
Manji- Alifilisika
Mo-kashindwa kulipa bilioni20 Simba.
Wapo vijana wengine wengi Watanzania waliowahi kutajwa katika hili jarida ila sasa hivi ni wa kawaida tu huko mtaani.

View attachment 3076108
Kwahiyo walio tajwa walisha kufa au wamefilisika, kila jambo lina kilele chake.
 
Back
Top Bottom