Watanzania kwenye MTV Africa Music Awards 2014

AUSTRONAUT

Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
19
Reaction score
10
Katika kuzid kuitangaza Tanzania katika Africa na Dunia kwa ujumla Diamonds Platnumz ameingia kwenye categories mbili za MTV Africa Music awards pamoja na mtanzania mwingine ambaye ni Anisa Mpungwe ambaye yupo kwenye category moja. Tukiwa kama Watanzania tuwasupport kwa kuwapigia kura.
source: mtvbase.com
 
Subiri wavivu,wenye wivu na wachawi waje kuanza kumponda diomond na sio waliompendekeza!...
 
Anisa nimesikia kuwa ni mbunifu wa mavazi..ila ni mgeni kabisa kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…