Watanzania maskini wametengwa na mfumo wa mabasi ya mwendo kasi (BRT)

Mkoa sio Dar peke yake,kama maisha ya Dar yamekushinda njoo kijijini,usafiri huku ni baiskeli,Tsh. 200 saa nzima,unaenda utakapo bila wasi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kwamba Tsh.1300 ni coins za mkazi yeyote wa dar kwenye begi lake. Kuna watu wengi Dar wanatoa jasho kweli kweli kupata hio 1300 mfano waokota makopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wejamaa lazima utakua umezikalia akili hapo kwenye tako zako hebu amka, muokota makopo yeye lazima atembee kwa miguu ili aweza pata hayo makopo ambayo kwa kawaida huzagaa mtaani. Sasa ulitaka apande Bus za mwendo kasi aende wapi?? Wee jinga sana kumbe eeeh!!! Kumbe hata huko 254 yapo majitu hamnazo majinga jinga tu.
 
Sio kweli kwamba Tsh.1300 ni coins za mkazi yeyote wa dar kwenye begi lake. Kuna watu wengi Dar wanatoa jasho kweli kweli kupata hio 1300 mfano waokota makopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wejamaa lazima utakua umezikalia akili hapo kwenye tako zako hebu amka, muokota makopo yeye lazima atembee kwa miguu ili aweza pata hayo makopo ambayo kwa kawaida huzagaa mtaani. Sasa ulitaka apande Bus za mwendo kasi aende wapi?? Wee jinga sana kumbe eeeh!!! Kumbe hata huko 254 yapo majitu hamnazo majinga jinga tu.
 
Alshabab amja malizana nao mmekimbilia Tz... malizeni na Yale majanga yenu ya Reli/treni ya mwendokasi
 
Cha kwanza wewe ndiye mjinga. Cha pili wewe ndiye umekalia akili zako kwenye tako. Cha tatu una akili kidogo. Cha nne uelewa wako mdogo sana. Kama una hoja unaweza kuwasilisha kwa lugha ya staha. Nilisema hivi sio kila mkazi wa Dar ambaye sh. 1300 anazipata kiurahisi kama ilivyosemekana. Najua kama unavyojua muokota makopo lazima atembee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usafiri wa mwendokasi ni watu wa kipato cha chini. Wenye ahueni wengi hukwepa kuutumia kwa sababu ya adha nyingine.

Ukisema kwamba watu wanashindwa kulipa itakuwa ajabu maana zenyewe hufurika watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Watu million 5 wapo katika mji ambao ni mkubwa mara tatu ya Nairobi wakati watu zaidi ya million 2 wanaishi Kibera kitongoji kidogo Nairobi, Tanzania ina zaidi ya watu million 58 lakini ni watu million 4.5 tu ndio wanaishi Dar, Kenya ina watu million 47 lakini zaidi ya Wakenya million 5 wanaishi Nairobi ndogo mara zaidi ya Dar. Hongereni
 
Hayo magari ya mwendokasi yanajaza utasema meli wala sitakagi kupanda.
 
Halafu round trip fair ni Tsh.600 sijui hiyo Tsh.1300 ulipoitoa
 

Kwa mkaazi wa Kimara hayo mabasi yana unafuu sana kwake maana ni mbali na mjini na pia huko ndiko mwisho kama sijakosea au kusahau. Hivyo kwake yeye 1,300 ni nafuu, lakini hebu ifuate hiyo barabara yote ya Morogoro ujaribu kuwaza hali ilivyo kwa wakaazi wa maeneo ya kati kama Ubungo vile, waliokua wamezoea daladala za 300 leo hii umemshtukiza na lipipa linamgharimu mara mbili ya hiyo.
Halafu limehodhi barabara yote, daladala haziruhusiwi humo, hivyo hana mbadala inabidi alisubiri, na likija linakua limefurika maana maskini wote wanang'ang'ania humo kwa kukosa mbadala.

Pia usiwalinganishe wachuuzi wa kwenye magenge maana kama ilivyo hata hapa Nairobi, wao hupiga hela ndefu sana hata kuzidi makarani ofisini, na pia wengi wao mjini huenda labda mara moja au mbili kwa wiki wakati wanafuata bidhaa. Lakini karani mvaa tai anayesubiri laki tano kila mwisho wa mwezi, hana kipato kingine, kazi yake kupanga stakabadhi na madaftari ofisini siku nzma, lazima aone hizo 1,300 zikiwa ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…