Anamaanisha matajiri wa kitanzania hawapo tayari kutoa pesa wanunue wazo la kibiashara kwa mtu hili huyo mtu apate pesa na wazo walichukue hilo wao.
sio nia yangu uelewee haya maelezo kwani mimi na chizcom ni ndugu wa mama na baba mmoja tumechizika kweli,
Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake.