Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Hakika ccm imetushika akili sana yaani lema anajaribu kuwatoa tongotongo watu lakini yeye ndo anaonekana mbaya. Hivi sisi waafrica ni nani alituloga? Au ni elimu zetu hafifu ambapo hatujui hata Nini chenye manufaa kwetu na ni haki yetu kuipata unless rais hayupo kwa ajiri ya maslahi yetu Bali yake binafsi na chama!
Hivi kweli wasomi wazima mmeridhika kabisa na ajira za bodaboda ambazo ni hand to mouth siku ukiugua unakufa mana hakuna backup yoyote.
Mungu atunusulu
Hivi kweli wasomi wazima mmeridhika kabisa na ajira za bodaboda ambazo ni hand to mouth siku ukiugua unakufa mana hakuna backup yoyote.
Mungu atunusulu