Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Ndiyo kawaida ya Watanzania kuacha mambo ya msingi na kujikita kwenye kujadili petty issues.Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Mkuu mbona wao waliacha kujadili makosa ya mashahidi wao wakaanza kuwashambulia kwa personal issues? Wacha nayeye ajadiliwe alikuwa na sababu gani ya kusema hayo?Kiukweli watanzania kama taifa bado tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotarajia kufika.
Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.
Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.
Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.
Mungu sio kiongozi.Mungu ni muumba wa mbingu na dunia na vitu vyote vitu vyote vionekanavyo na visivyoonekana.tunachotakiwa kwake ni kusifu na kuabudu tuu.Ni kiongozi wa bunge kama Ndugai?
Kamati ya maadili inakusaidia niniKiukweli Watanzania kama taifa bado tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotarajia kufika.
Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.
Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.
Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.