Watanzania mnaposhangilia nchi kulipishwa faini za mabilioni msidhani mnamkomoa Hayati Magufuli. Yeye alishamaliza mwendo wake

Watanzania mnaposhangilia nchi kulipishwa faini za mabilioni msidhani mnamkomoa Hayati Magufuli. Yeye alishamaliza mwendo wake

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
1. Tanzania na hasa upande wa serikali hakuna wanasheria wabobezi wa mikataba ya kimataifa

2. Kesi za Tanzania zilizofunguliwa kwenye mahakama za kimataifa zinasimamiwa na watumishi wa umma wanaona posho kama kipaombele na siyo wanasheria wabobezi.

3. Kesi hizi zinasimamiwa kwa siri kubwa huku timu ya Tanzania ikiwa imefichwa kuogopa uchambuzi wa CV za wahusika. Wengi wanaoshiriki hawajawahi kushinda kesi za ndani mahakamani. Ni waalimu wa sheria na watoto wa viongozi

4. Kwa sababu ya kukosekana uzalendo wanasheria wetu wameanza kulipa fidia nje ya maamuzi ya mahakama wakiwa wanabebwa na fikra za pre-bagaining mtaona kwenye kesi iliyoamukiwa hivi karibuni

5. Yapo majadiliano yanaendelea kwamba makampuni yaliyoshinda kesi yalipwe na yabadili majina yaje tena kuwekeza nchini fedha zilezile za fidia na shareholders wawe wale waliosaidia serikali kushindwa kesi. Fuatilieni makampuni yaliyoshinda kesi yanasambaza vipi faida zao...angalieni waajiriwa wao kama hawana nasaba na viongozi walioshiriki majadiliano

Pamoja na changamoto zilizotajwa hapo juu, nachukizwa zaidi kuona kwamba viongozi wote wa kitaifa wanaamini haya ni makosa ya JPM na hawana cha kufanya kuyarekebisha. Lakini tukumbuke hawa hawa ndio walikuwa wasaidizi wa JPM na walitetea kila jambo alilofanya.

Wapo viongozi wa upinzani wanashangilia kuona nchi inashindwa kesi. Huku ni kukosa uzalendo na kuombea taifa mabaya.

Hizi fidia wanaolipa ni wapiga kura wenu ninyi wapinzani. Kuchelea ni kufurahia wananchi kuendelea kunyonywa.

Mwisho, hata kama wana CCM na wapinzani mlimchukia JPM naomba mfahamu kwamba huyu Mzee alishamaliza mwendo. Hakuna namna ataamka kaburini kuja kulipa madeni.

Tunapaswa kumpongeza kwa sababu hakuna shilingi aliyochukua kwa mwekezaji akatia mfukoni mwake wala kuwekeza nje ya nchi. Alichukua akajenga barabara, reli, madaraja, madarasa, vivuko, meli nk Ninyi mmefanya lipi lakukumbukwa?

Pia soma
- Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
 
Ongea yote bila katiba mpya ni kuoga nje ya msikiti au kanisa kipind cha ibada........
 
Ana mali za familia, hatuwezi kumshitaki msimamizi wa mirathi yake ili achangie kulipa deni
 
1. Tanzania na hasa upande wa serikali hakuna wanasheria wabobezi wa mikataba ya kimataifa

2. Kesi za Tanzania zilizofunguliwa kwenye mahakama za kimataifa zinasimamiwa na watumishi wa umma wanaona posho kama kipaombele na siyo wanasheria wabobezi.

3. Kesi hizi zinasimamiwa kwa siri kubwa huku timu ya Tanzania ikiwa imefichwa kuogopa uchambuzi wa CV za wahusika. Wengi wanaoshiriki hawajawahi kushinda kesi za ndani mahakamani. Ni waalimu wa sheria na watoto wa viongozi

4. Kwa sababu ya kukosekana uzalendo wanasheria wetu wameanza kulipa fidia nje ya maamuzi ya mahakama wakiwa wanabebwa na fikra za pre-bagaining mtaona kwenye kesi iliyoamukiwa hivi karibuni

5. Yapo majadiliano yanaendelea kwamba makampuni yaliyoshinda kesi yalipwe na yabadili majina yaje tena kuwekeza nchini fedha zilezile za fidia na shareholders wawe wale waliosaidia serikali kushindwa kesi. Fuatilieni makampuni yaliyoshinda kesi yanasambaza vipi faida zao...angalieni waajiriwa wao kama hawana nasaba na viongozi walioshiriki majadiliano

Pamoja na changamoto zilizotajwa hapo juu, nachukizwa zaidi kuona kwamba viongozi wote wa kitaifa wanaamini haya ni makosa ya JPM na hawana cha kufanya kuyarekebisha. Lakini tukumbuke hawa hawa ndio walikuwa wasaidizi wa JPM na walitetea kila jambo alilofanya.

Wapo viongozi wa upinzani wanashangilia kuona nchi inashindwa kesi. Huku ni kukosa uzalendo na kuombea taifa mabaya.

Hizi fidia wanaolipa ni wapiga kura wenu ninyi wapinzani. Kuchelea ni kufurahia wananchi kuendelea kunyonywa.

Mwisho, hata kama wana CCM na wapinzani mlimchukia JPM naomba mfahamu kwamba huyu Mzee alishamaliza mwendo. Hakuna namna ataamka kaburini kuja kulipa madeni.

Tunapaswa kumpongeza kwa sababu hakuna shilingi aliyochukua kwa mwekezaji akatia mfukoni mwake wala kuwekeza nje ya nchi. Alichukua akajenga barabara, reli, madaraja, madarasa, vivuko, meli nk Ninyi mmefanya lipi lakukumbukwa?
Tumieni akili ...siyo swala la kukosa wanasheria ...huo ni mwendelezo wa ufisaddi wa CCM NA SAMIA NA KIKWETE CHINI YA MWONGOZO WA BWANA ROSTAM AZIZI. Hizo pesa wanagawana viongozi mafisadi wa ccm na hao wahuni walio tengenezwa kama wawekezaji....Za chini ya kapeti zinasema hizo pesa pia zitatumika kwenye kuipatia ushindi wa mezani CCM 2025 dhidi ya matakwa ya wananchi.

KWA SASA TAIFA LETU LIPO CHINI YA VIONGOZI NAJISI
 
1. Tanzania na hasa upande wa serikali hakuna wanasheria wabobezi wa mikataba ya kimataifa

2. Kesi za Tanzania zilizofunguliwa kwenye mahakama za kimataifa zinasimamiwa na watumishi wa umma wanaona posho kama kipaombele na siyo wanasheria wabobezi.

3. Kesi hizi zinasimamiwa kwa siri kubwa huku timu ya Tanzania ikiwa imefichwa kuogopa uchambuzi wa CV za wahusika. Wengi wanaoshiriki hawajawahi kushinda kesi za ndani mahakamani. Ni waalimu wa sheria na watoto wa viongozi

4. Kwa sababu ya kukosekana uzalendo wanasheria wetu wameanza kulipa fidia nje ya maamuzi ya mahakama wakiwa wanabebwa na fikra za pre-bagaining mtaona kwenye kesi iliyoamukiwa hivi karibuni

5. Yapo majadiliano yanaendelea kwamba makampuni yaliyoshinda kesi yalipwe na yabadili majina yaje tena kuwekeza nchini fedha zilezile za fidia na shareholders wawe wale waliosaidia serikali kushindwa kesi. Fuatilieni makampuni yaliyoshinda kesi yanasambaza vipi faida zao...angalieni waajiriwa wao kama hawana nasaba na viongozi walioshiriki majadiliano

Pamoja na changamoto zilizotajwa hapo juu, nachukizwa zaidi kuona kwamba viongozi wote wa kitaifa wanaamini haya ni makosa ya JPM na hawana cha kufanya kuyarekebisha. Lakini tukumbuke hawa hawa ndio walikuwa wasaidizi wa JPM na walitetea kila jambo alilofanya.

Wapo viongozi wa upinzani wanashangilia kuona nchi inashindwa kesi. Huku ni kukosa uzalendo na kuombea taifa mabaya.

Hizi fidia wanaolipa ni wapiga kura wenu ninyi wapinzani. Kuchelea ni kufurahia wananchi kuendelea kunyonywa.

Mwisho, hata kama wana CCM na wapinzani mlimchukia JPM naomba mfahamu kwamba huyu Mzee alishamaliza mwendo. Hakuna namna ataamka kaburini kuja kulipa madeni.

Tunapaswa kumpongeza kwa sababu hakuna shilingi aliyochukua kwa mwekezaji akatia mfukoni mwake wala kuwekeza nje ya nchi. Alichukua akajenga barabara, reli, madaraja, madarasa, vivuko, meli nk Ninyi mmefanya lipi lakukumbukwa?
Nimekupuuza hapo uliposema hao wananchi ni wapiga kura wenu, nchi hii haina uchaguzi, na aliyedhibitisha hilo ni Magufuli. Magufuli hakuwa mzalendo, bali alikuwa mlevi wa madaraka aliyekuwa anafanya mambo kwa pupa ili kusaka sifa za kisiasa. Kama angekuwa mzalendo angeheshimu mitazamo na ushauri sahihi, na sio kusikiliza tu ushauri wa vikaragosi wake, huku akaipuuza kila ushauri aliopewa na aliowatengenezea uhasama. Inshort alikuwa ni mpenda sifa aliyejivika uzalendo wa shuruti.

Watu wanashangilia maana wakati wa kiburi cha utawaala wake, kuna wapambe aliokuwa akishirikiana nao walihakikisha anaonyesha uzelendo fake kwa kukomoa wengine. Na kumsaidia kutawala kama alivyotaka, na sio itakiwavyo. Hizo barabara, reli, miundombinu mingine sio yeye wa kwanza kuitekeleza, hata wakaloni walifanya, na bado tuliwakataa. Somo hapo ni tutengeneze mifumo sahihi ya kiutawala, sio mifumo ya kumnyenyekea kiongozi kwa uzalendo wa kulazimisha.
 
Tumieni akili ...siyo swala la kukosa wanasheria ...huo ni mwendelezo wa ufisaddi wa CCM NA SAMIA NA KIKWETE CHINI YA MWONGOZO WA BWANA ROSTAM AZIZI. Hizo pesa wanagawana viongozi mafisadi wa ccm na hao wahuni walio tengenezwa kama wawekezaji....Za chini ya kapeti zinasema hizo pesa pia zitatumika kwenye kuipatia ushindi wa mezani CCM 2925 dhidi ya mqtakwa ya wananchi.

KWA SASA TAIFA LETU LIPO CHINI YA VIONGOZI NAJISI
Kama ccm itaingia madarakani hiyo 2025 kwa ushindi wa mezani, wa kulaumiwa hapo ni Magufuli na genge lake, maana yeye ndio alipandikiza mbegu mbaya ya kutoheshimu chaguzi zetu.
 
Kama ccm itaingia madarakani hiyo 2025 kwa ushindi wa mezani, wa kulaumiwa hapo ni Magufuli na genge lake, maana yeye ndio alipandikiza mbegu mbaya ya kutoheshimu chaguzi zetu.
Magufuli alishinda kihalali uchaguzi wa 2020 ....watu wanamkubali jpm ...uchaguzi ulio kuwa feki ni 2015 chini ya kikwete maana rais aliyetoka madarakani akiwa mbovu usababisha anaye pokea kijiti mikononi mwake kupata ugumu...ndiyo maana Kikwete alisema baada ya uchaguzi kuwa anashukuru ccm haijamfia mikononi mwake .... hatua alizo chukua JPM zilikuwa sahihi katika ku block code ya ufisadi . Wewe jiulize ilikuwaje chadema ambayo siku zote ilikuwa inapinga ufisadi hadi wa madini ila baada ya JPM kuanza kupambana na ufisadi wa madini chadema ikabadilika ghafla na kuanza kuwapigania mafisadi ...tumia akili mafisadi ndiyo walio sababisha jpm kuminya hayo mambo ili aweze kufanikiwa kuwamaliza na kubomoa mifumo yao serikalini.
 
1. Tanzania na hasa upande wa serikali hakuna wanasheria wabobezi wa mikataba ya kimataifa

2. Kesi za Tanzania zilizofunguliwa kwenye mahakama za kimataifa zinasimamiwa na watumishi wa umma wanaona posho kama kipaombele na siyo wanasheria wabobezi.

3. Kesi hizi zinasimamiwa kwa siri kubwa huku timu ya Tanzania ikiwa imefichwa kuogopa uchambuzi wa CV za wahusika. Wengi wanaoshiriki hawajawahi kushinda kesi za ndani mahakamani. Ni waalimu wa sheria na watoto wa viongozi

4. Kwa sababu ya kukosekana uzalendo wanasheria wetu wameanza kulipa fidia nje ya maamuzi ya mahakama wakiwa wanabebwa na fikra za pre-bagaining mtaona kwenye kesi iliyoamukiwa hivi karibuni

5. Yapo majadiliano yanaendelea kwamba makampuni yaliyoshinda kesi yalipwe na yabadili majina yaje tena kuwekeza nchini fedha zilezile za fidia na shareholders wawe wale waliosaidia serikali kushindwa kesi. Fuatilieni makampuni yaliyoshinda kesi yanasambaza vipi faida zao...angalieni waajiriwa wao kama hawana nasaba na viongozi walioshiriki majadiliano

Pamoja na changamoto zilizotajwa hapo juu, nachukizwa zaidi kuona kwamba viongozi wote wa kitaifa wanaamini haya ni makosa ya JPM na hawana cha kufanya kuyarekebisha. Lakini tukumbuke hawa hawa ndio walikuwa wasaidizi wa JPM na walitetea kila jambo alilofanya.

Wapo viongozi wa upinzani wanashangilia kuona nchi inashindwa kesi. Huku ni kukosa uzalendo na kuombea taifa mabaya.

Hizi fidia wanaolipa ni wapiga kura wenu ninyi wapinzani. Kuchelea ni kufurahia wananchi kuendelea kunyonywa.

Mwisho, hata kama wana CCM na wapinzani mlimchukia JPM naomba mfahamu kwamba huyu Mzee alishamaliza mwendo. Hakuna namna ataamka kaburini kuja kulipa madeni.

Tunapaswa kumpongeza kwa sababu hakuna shilingi aliyochukua kwa mwekezaji akatia mfukoni mwake wala kuwekeza nje ya nchi. Alichukua akajenga barabara, reli, madaraja, madarasa, vivuko, meli nk Ninyi mmefanya lipi lakukumbukwa?

Pia soma
- Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
Nani kashangilia nchi kulipishwa faini?

JPM kuwa mfu kunaondoa ukweli kwamba alikosea kufanya alichofanya mpaka nchi inapigwa faini hivi?
 
1. Tanzania na hasa upande wa serikali hakuna wanasheria wabobezi wa mikataba ya kimataifa

2. Kesi za Tanzania zilizofunguliwa kwenye mahakama za kimataifa zinasimamiwa na watumishi wa umma wanaona posho kama kipaombele na siyo wanasheria wabobezi.

3. Kesi hizi zinasimamiwa kwa siri kubwa huku timu ya Tanzania ikiwa imefichwa kuogopa uchambuzi wa CV za wahusika. Wengi wanaoshiriki hawajawahi kushinda kesi za ndani mahakamani. Ni waalimu wa sheria na watoto wa viongozi

4. Kwa sababu ya kukosekana uzalendo wanasheria wetu wameanza kulipa fidia nje ya maamuzi ya mahakama wakiwa wanabebwa na fikra za pre-bagaining mtaona kwenye kesi iliyoamukiwa hivi karibuni

5. Yapo majadiliano yanaendelea kwamba makampuni yaliyoshinda kesi yalipwe na yabadili majina yaje tena kuwekeza nchini fedha zilezile za fidia na shareholders wawe wale waliosaidia serikali kushindwa kesi. Fuatilieni makampuni yaliyoshinda kesi yanasambaza vipi faida zao...angalieni waajiriwa wao kama hawana nasaba na viongozi walioshiriki majadiliano

Pamoja na changamoto zilizotajwa hapo juu, nachukizwa zaidi kuona kwamba viongozi wote wa kitaifa wanaamini haya ni makosa ya JPM na hawana cha kufanya kuyarekebisha. Lakini tukumbuke hawa hawa ndio walikuwa wasaidizi wa JPM na walitetea kila jambo alilofanya.

Wapo viongozi wa upinzani wanashangilia kuona nchi inashindwa kesi. Huku ni kukosa uzalendo na kuombea taifa mabaya.

Hizi fidia wanaolipa ni wapiga kura wenu ninyi wapinzani. Kuchelea ni kufurahia wananchi kuendelea kunyonywa.

Mwisho, hata kama wana CCM na wapinzani mlimchukia JPM naomba mfahamu kwamba huyu Mzee alishamaliza mwendo. Hakuna namna ataamka kaburini kuja kulipa madeni.

Tunapaswa kumpongeza kwa sababu hakuna shilingi aliyochukua kwa mwekezaji akatia mfukoni mwake wala kuwekeza nje ya nchi. Alichukua akajenga barabara, reli, madaraja, madarasa, vivuko, meli nk Ninyi mmefanya lipi lakukumbukwa?

Pia soma
- Tanzania kuilipa Indiana Resources Ltd Bilioni 237 baada ya kuvunja mkataba mwaka 2018. Yatanguliza Bilioni 92
Ungeanza na kujiuliza
1. why tunalipishwa?
2. Hawakukataa ushauri hapo kabla?
 
Magufuli alishinda kihalali uchaguzi wa 2020 ....watu wanamkubali jpm ...uchaguzi ulio kuwa feki ni 2015 chini ya kikwete maana rais aliyetoka madarakani akiwa mbovu usababisha anaye pokea kijiti mikononi mwake kupata ugumu...ndiyo maana Kikwete alisema baada ya uchaguzi kuwa anashukuru ccm haijamfia mikononi mwake .... hatua alizo chukua JPM zilikuwa sahihi katika ku block code ya ufisadi . Wewe jiulize ilikuwaje chadema ambayo siku zote ilikuwa inapinga ufisadi hadi wa madini ila baada ya JPM kuanza kupambana na ufisadi wa madini chadema ikabadilika ghafla na kuanza kuwapigania mafisadi ...tumia akili mafisadi ndiyo walio sababisha jpm kuminya hayo mambo ili aweze kufanikiwa kuwamaliza na kubomoa mifumo yao serikalini.
Uko sawa kweli..? Yule bwana alikua mshamba sana haja wahi kushinda bali n kubebwa na policcm. Afu magu hafikii hata theluthi ya kikwete so. Acha usengerema
 
Tulikuwa na jitu jinga sana llilokuwa linaendesha nchi kama kijiwe cha kahawa. Mxiuuuuu!!
Kwa hiyo Magu ndiyo ali sign hiyo mikataba ya kifisadi!? Au unaongozwa na chuki zako za kimasikini!? Pambana na hali yako mkuu,wwe uliye hai ndiyo unatakiwa kulipa hiyo fidia! Magu hawezi aamka na kuja kukulipia, na wwe kama hutaki kulipa jinyonge ili uwe mfu na usidaiwe chochote kile!!
 
Uko sawa kweli..? Yule bwana alikua mshamba sana haja wahi kushinda bali n kubebwa na policcm. Afu magu hafikii hata theluthi ya kikwete so. Acha usengerema
SIBISHANI NA RAIA FEKI MIMI KWA KUWA NAWAJUA AJENDA YENU CHAFU KWA NCHI YETU TUKUFU YA TANGANYIKA
 
SIBISHANI NA RAIA FEKI MIMI KWA KUWA NAWAJUA AJENDA YENU CHAFU KWA NCHI YETU TUKUFU YA TANGANYIKA
Wewe n mwehu. Wenye ujuzi na utambuzi wa mambo ya kisheria walipo kuwa wanakataa madudu ya mwendazake. Ulikua umesafiri au..? Na bado akawapa makesi ya kimagumashi wale wote wenye fikra za kufichua madudu yale.
 
Back
Top Bottom