Watanzania msidanganyike na Ulaghai wa PFIZER & MODERNA dhidi ya JANSSEN (J&J)

Kwa maskitiko makubwa naomba niseme nyinyi ndiyo mnatupa kazi ngumu ya kutoa elimu dhidi ya chanjo ya Covid-19, tunaongea mpaka mate mdomon yanakauka kwa sababu ya ujinga mnaolisishana vikaoni huko huku mkijifanya kunukuu yasiyonukulika!
 
Kwa maskitiko makubwa naomba niseme nyinyi ndiyo mnatupa kazi ngumu ya kutoa elimu dhidi ya chanjo ya Covid-19, tunaongea mpaka mate mdomon yanakauka kwa sababu ya ujinga mnaolisishana vikaoni huko huku mkijifanya kunukuu yasiyonukulika!
Kwani ukija na maelezo tofauti na ya kwangu watu hawatakuelewa? Toa hizo nukuu zako zinazo nukulika watu wazisome
 
Chanjo zote ni biashara tu

Inabdi wanasayansi waatalam wa kiafrika waje nao na chanjo zao....

Ova
 
Naona una kautaalam ka mambo ya chanjo, binafsi nakushauri uje na ya kwako ndipo uwashauri watu kuliko kuwasemea wanaoshindana huko ughaibuni
 
Hebu kajiboostini,msitupotezee muda humu,,serikali yenu imeingizwa cha kike
 

  1. Wanapopigana mafahari ziumiazo ni nyasi
  2. Vita vya panzi furaha ya kunguru

 
Huu ugojjwa wa Korona umenifanya nirejelee notisi zangu za mwaka wa kwanza za DRA na RNA replication . Messenger Rna, Ribosome Rna, Transfer Rna na zile code za CAT , CCA, nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…