Tetesi: WaTanzania mwenye qualification za nje wanaweza kupata kazi katika serekali ya Tanzania..?

Tetesi: WaTanzania mwenye qualification za nje wanaweza kupata kazi katika serekali ya Tanzania..?

J McAme

Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
6
Reaction score
1
Habari zenu, ningeomba kushauriwa kuhusu hili.Mimi ni kijajana wa Tanzania niliemalizia masomo yangu ya primary na secondary nchini kenya, kwasasa nataka kujiunga na chuo kikuu kenya illa wasiwasi wangu ni kuwa nitakapo maliza bachelor's degree yangu nitaweza kupata kazi kwenye serekali ya Tanzania?

Ahsanteni Sana.
 
Mkuu kama huna hakika wasiliana na TCU, kwani utakapo rudi wao ndiyo watakao thibitisha cheti chako. Vyuo siku hizi ni vingi huko Kenya hakikisha unakwenda chuo chenye mashiko na ili usiwe na wasi wasi malizana kabisa na TCU wasije wakakushangaza (si unajua tena mambo ya kwetu).
 
Mkuu kama huna hakika wasiliana na TCU, kwani utakapo rudi wao ndiyo watakao thibitisha cheti chako. Vyuo siku hizi ni vingi huko Kenya hakikisha unakwenda chuo chenye mashiko na ili usiwe na wasi wasi malizana kabisa na TCU wasije wakakushangaza (si unajua tena mambo ya kwetu).
Yaaa Yaa sure.
Nitafanya ivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom