Wakuu, kwanini tunasikia vizuri sana kingereza cha kwenye movies kuliko mabosi wazungu ofisini???
Yaan kwenye movie, unasikia kila kitu, lakini ukikaa na bosi wa kimarekani ofisini, husikii kile anachoongea...unatoa macho tu. Nini tatizo hapo?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums