ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Habari za saa wanachama wenza wa Jamiiforums natumai ni wazima.
Nilikuwa na jambo linalo nitatiza na lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wanachama na jambo lenyewe lina husu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpaka sasa hapa taifani kumekuwa na mijadala mingi ya wanasiasa kuhusu swala la uwepo wa katiba mpya hapa nchini ama la? Hali imepelekea mimi kuwaza kwa makini sana swala hili kupeleka kuni zalishia baadhi ya maswali ndani ya ubongo wangu yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wanachama.
Maswali:
1. Je, wananchi wa taifa letu la Tanzania wanafahamu katiba nini au wana elimu yoyote kuhusu katiba?
2. Je, wananchi wana fahamu sababu za uwepo wa katiba ? Na umuhimu wake katika taifa?
3. Je, wananchi wana ifahamu katiba hii ya sasa ya mwaka 1977 kwa kuisoma na kuielewa?
4. Je, wananchi wana fahamu mapungufu ya katiba hii ya sasa?
5. Je, wananchi hawa itaki katiba ya sasa na wana hitaji katiba mpya?
6. Je, hitaji la katiba mpya ni la wana siasa au ni hitaji la Watanzania walio wengi?
7. Je, wananchi wana ifahamu katiba pendekezwa kwa kuisoma na kuielewa?
8. Je, wananchi wana shirikishwa katika mchakato wa katiba mpya au wana siasa pekee ndio wanao shiriki?
9. Je, wananchi wapo tayari kulipia gharama za upatikanaji wa katiba mpya? Na wapo tayari kuilinda na kuitunza endapo ikipatikana?
10. Je, upatikanaji wa katiba mpya ndio utakuwa mwisho wa matatizo yanayo wakabili Watanzania?
Hayo ni miongoni mwa maswali yanayo nitatiza kuhusu swala la katiba mpya na nafasi ya wananchi wa Tanzania katika hilo.
Karibuni kwa michango yenu.
Nilikuwa na jambo linalo nitatiza na lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wanachama na jambo lenyewe lina husu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpaka sasa hapa taifani kumekuwa na mijadala mingi ya wanasiasa kuhusu swala la uwepo wa katiba mpya hapa nchini ama la? Hali imepelekea mimi kuwaza kwa makini sana swala hili kupeleka kuni zalishia baadhi ya maswali ndani ya ubongo wangu yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wanachama.
Maswali:
1. Je, wananchi wa taifa letu la Tanzania wanafahamu katiba nini au wana elimu yoyote kuhusu katiba?
2. Je, wananchi wana fahamu sababu za uwepo wa katiba ? Na umuhimu wake katika taifa?
3. Je, wananchi wana ifahamu katiba hii ya sasa ya mwaka 1977 kwa kuisoma na kuielewa?
4. Je, wananchi wana fahamu mapungufu ya katiba hii ya sasa?
5. Je, wananchi hawa itaki katiba ya sasa na wana hitaji katiba mpya?
6. Je, hitaji la katiba mpya ni la wana siasa au ni hitaji la Watanzania walio wengi?
7. Je, wananchi wana ifahamu katiba pendekezwa kwa kuisoma na kuielewa?
8. Je, wananchi wana shirikishwa katika mchakato wa katiba mpya au wana siasa pekee ndio wanao shiriki?
9. Je, wananchi wapo tayari kulipia gharama za upatikanaji wa katiba mpya? Na wapo tayari kuilinda na kuitunza endapo ikipatikana?
10. Je, upatikanaji wa katiba mpya ndio utakuwa mwisho wa matatizo yanayo wakabili Watanzania?
Hayo ni miongoni mwa maswali yanayo nitatiza kuhusu swala la katiba mpya na nafasi ya wananchi wa Tanzania katika hilo.
Karibuni kwa michango yenu.